Shabdullah
Member
- Feb 17, 2020
- 65
- 52
Wakuu nahitaji kuchanja lakini sijui hata napata wapi hio huduma naombeni muongozo wenu
Uko mkoa gani?Wakuu nahitaji kuchanja lakini sijui hata napata wapi hio huduma naombeni muongozo wenu
Umemaliza kazi.Uko mkoa gani?
Kama uko Dar nenda hospitali ya taifa ya Mubimbili.... Au hospitali ya Aga Khan ile kubwa, Au hospitali ya Amana/Temeke/Mwananyamala.
Kama upo mkoa mwingine wowote ambao sio Dar basi nenda hospitali ya rufaa ya mkoa uliopo.