Nishaurini accomodation cheapest New York city naenda mwezi wa nane mwaka huu 2023 kwa siku mbili tatu tu

u Remind me of my baby Blair Powel Walton, toto moja la kimarekani lililonipa MAhaba nkagoma kurudi Tanzania baada ya Kumaliza Degree yangu pale UCLA yaani University of Califonia, Los Angeles !! Achana na pacha wake UCSD University of califonia San diego maana wengi walikuwa wanachanganya! so pisi ilkikuwa inakaa kishua sana ... baba yake alikuwa na mahotel new york so wakati namkimbizia i had to be staying in New york shitholes just to sustain my black ass! sema nilikuwa ambitious sana My guy, anyways enough about Mtoto Blair story for another time!! Sleep on these 3 shitholes 1. West Side YMCa ipo 5 west 63rd street upande wa juu kule.... 2.Bowery Lodge ipo 81 Bowery East Side ya chini , na mwisho keep your ugly ass at the pacific hotel. Taka taka zote hizi ni under 100$ chini hukoooooo..... New york bhana , kuna wamarekani hawajawahi hata kufika na ukiwaambia umetoka new york wanakuona mjanja saanaaaaaaaa , its like uende chuga useme umetoka Daslam majita wanakuona mnyamweziiii ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜. My arusha people will kill me after seeing this post (M fuckin jokin bro) But True New york city Better carry some Good Cash My guy! Like i always say Good Places = Quality Time = Good High Quality women

remember New york slangs to keep u going wack- LOUSY GUCCI- Good stuff , Ratchet, Cringee, Frontin

Adios, Go ENjoy yourself son

Oligarchy "OLI"
BORN POOR, DYING RICH NIGGER

Wonderful post this my Nigger. You gotta be book writer if not that talent is gone lost bro.
Thanks for your advise. Will comply!
 
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
1) HI NEW YORK CITY HOSTEL (USD 44 PER NIGHT)
2) NY MOORE HOSTEL (USD 56 PER NIGHT)
3) KAM WAY LODGE & TRAVEL HOSTEL (USD 54 PER NIGHT)
4) CENTRAL PARK WEST HOSTEL (USD 63 PER NIGHT)
5) THE LOCAL-HOTEL (USD 65 PER NIGHT)
* All Inclusive of Taxes & Fees
mwanangu hapa umeniweza. Number moja bila kupepesa macho naitimbia hiyo saaaafi kabisa.
 
Wakati unaomba visa hukuulizwa utakapofikia? Barua ya mwaliko ulikuwa nayo? Saa nyingine acha kuota ukiwa macho.
Bora nimesoma comment yako maana huyu ni fala kiwango cha mwisho anadhani us ni matako kila mtu anayo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ imagine unadanganya watu kwa nguvu alafu wanakustukia kirahisi sana. Mkuu tuendelee kunywa chai
 
Bora nimesoma comment yako maana huyu ni fala kiwango cha mwisho anadhani us ni matako kila mtu anayo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ imagine unadanganya watu kwa nguvu alafu wanakustukia kirahisi sana. Mkuu tuendelee kunywa chai
Wewe ni masikini WA kutupwa wala hujawahi kutoka nje ya buza kwa mjomba ako.
Huna unalolijua kaa kimya watu wapange mipango Yao. We muulize mkaza mjomba ako kesho asubh mnakunywa chai na muhogo au magimbi ili ujue kabisa.

Mambo ya safari unajua wapi wewe tena US.
Nitumie number yako ya whatsap inbox nitakutumia mapicha nikienda huko.

I'm not your level mf. Kaa kwa kutulia. Ambao wanajua washanisaidia soma nyuzi zote utaona.
Eti Bora nimesoma comment yako. Mwanaume mzima unatafta comments za wanaume wenzio badala ya kuandika zako au you got no balls mf?
Over
 
August 2023 naenda New York City kushangaa Tu kwa siku kama 3 then nirudi zangu. Niko man alone, nishaurini accomodation cheapest hata kama ni shared accomodation poa tu ilimradi usalama.

Mimi naishi popote sitaki tu semehu zenye violence maana usalama Kwanza.

Asanteni wakulungwa.
Jaribu airbnb Mount Vernon
30 mins or so na treni to NYC

I heard waliokuwa huko ndo walikaa hapo, sounded safe and affordable
 
August 2023 naenda New York City kushangaa Tu kwa siku kama 3 then nirudi zangu. Niko man alone, nishaurini accomodation cheapest hata kama ni shared accomodation poa tu ilimradi usalama.

Mimi naishi popote sitaki tu semehu zenye violence maana usalama Kwanza.

Asanteni wakulungwa.
Nenda ule mtaa alifikia Eddy Murphy kwenye Coming to America
 
Airbnb kama hujawahi kutumia account yako kubook sehemu yoyote Huwa inakuwa ngumu host kuapprove request yako Ili ukae kwake, wanakosa Imani na wewe kwasababu account Haina review Tena ukiwa black ndio kabisa.


Ila Hawa World Hostel hawana hizo.


Kuhusu bei za World hostel utajiwekea filter ya bei unazotaka. Ila nimetoka kuserch bei nyingi hapo New York za chini kabisa ni 140,000 Tena zingine sio chumba ni bed kwenye dooms
Kuna nyingine inaitwa 'bed4city' sasa sijajua kama ni popular

Niliikuta nchi za Europe
 
Wewe ni masikini WA kutupwa wala hujawahi kutoka nje ya buza kwa mjomba ako.
Huna unalolijua kaa kimya watu wapange mipango Yao. We muulize mkaza mjomba ako kesho asubh mnakunywa chai na muhogo au magimbi ili ujue kabisa.

Mambo ya safari unajua wapi wewe tena US.
Nitumie number yako ya whatsap inbox nitakutumia mapicha nikienda huko.

I'm not your level mf. Kaa kwa kutulia. Ambao wanajua washanisaidia soma nyuzi zote utaona.
Eti Bora nimesoma comment yako. Mwanaume mzima unatafta comments za wanaume wenzio badala ya kuandika zako au you got no balls mf?
Over
Hahaha sawa punguza hasira
 
Wewe ni masikini WA kutupwa wala hujawahi kutoka nje ya buza kwa mjomba ako.
Huna unalolijua kaa kimya watu wapange mipango Yao. We muulize mkaza mjomba ako kesho asubh mnakunywa chai na muhogo au magimbi ili ujue kabisa.

Mambo ya safari unajua wapi wewe tena US.
Nitumie number yako ya whatsap inbox nitakutumia mapicha nikienda huko.

I'm not your level mf. Kaa kwa kutulia. Ambao wanajua washanisaidia soma nyuzi zote utaona.
Eti Bora nimesoma comment yako. Mwanaume mzima unatafta comments za wanaume wenzio badala ya kuandika zako au you got no balls mf?
Over
Sitaki picha za matrakoooo kwenye whatsapp yangu sili marinda. Mwanaume unaomba namba ya whatsapp ili nini mbona kama huna kipingamizi ukiinamishwa ww๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sitaki picha za matrakoooo kwenye whatsapp yangu sili marinda. Mwanaume unaomba namba ya whatsapp ili nini mbona kama huna kipingamizi ukiinamishwa ww๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
You too low bro. Mimi sifukui mitaro maana inaonekana hayo ndio mambo unapenda kufanywa mpk unayataja.
Mi sio mchafu na wala sitaki tope dogo kaoge. sawa?! On to the next.
 
Tafuta kwenye mtandao sehemu zinaitwa "sleep station", ipo moja maarufu inatwa "Central park sleep station?. Hiyo ni cheap and best.


Pia nakushauri tafuta " Youth Hostels".

Uislam ni mwema sana, ukiwa Muislam unakwenda ofisi za Markaz Tabligh ya Tanzania wanakuunganisha na Markaz Tabligh ya New York, umefunga kazi. Salama, amani na official. Kwingine zinaitwa 'Jamaat Tabligh".
Dah umenikumbusha mbali hapo "Jamaat Tabligh"
 
Tafuta kwenye mtandao sehemu zinaitwa "sleep station", ipo moja maarufu inatwa "Central park sleep station?. Hiyo ni cheap and best.


Pia nakushauri tafuta " Youth Hostels".

Uislam ni mwema sana, ukiwa Muislam unakwenda ofisi za Markaz Tabligh ya Tanzania wanakuunganisha na Markaz Tabligh ya New York, umefunga kazi. Salama, amani na official. Kwingine zinaitwa 'Jamaat Tabligh".
Dah umenikumbusha mbali hapo "Jamaat Tabligh"
 
Back
Top Bottom