econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,104
- 22,221
Brother!
Watanzania wengi wanaowaponda manabii hawa;Passion Java na Papa Lovy Elias Longomba hawafuatilii mafundisho yao kwa kina wanaangalia tu muonekano.
Wana nondo gani? Hata Makenzie alikuwa na nondo kwa kondoo wake. Nabii kipini na dread na matatoo mwili mzima. Mungu atusamehe kwakweli. Yani Java mwaka Jana tu alikuwa anavaa kishoga kwenye club za usiku na akawa DJ na ndiye Rais wa label ya Rayvanny. Sasa hapo mjinga nani? Nyie danganyikeni wenyewe msidanganye wengine.