Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 968
- 1,354
Mm ni mwanafunzi wa chuo X kada ya ualimu mwaka wa pili (degree) lakini pia nazitamani sana hizi kazi za uafisa utendaji wa kata ikitokea ajira katika ualimu ikiwa ni changamoto kupata.
Sasa nataka kujiendeleza kielimu nikiwa hapahapa chuo kuna kozi nyingi tu zinatolewa sasa naomba mrejesho ni kozi gani itanipa sifa ya kulamba asali ya uafisa utendaji kwa ngazi ya certificate au lazima diploma.
Sasa nataka kujiendeleza kielimu nikiwa hapahapa chuo kuna kozi nyingi tu zinatolewa sasa naomba mrejesho ni kozi gani itanipa sifa ya kulamba asali ya uafisa utendaji kwa ngazi ya certificate au lazima diploma.