kingunge wa jf
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 455
- 425
Nauliza krefu cha herufi G kwenye jina la marehemu Gadner G Habash na je hayo ndio majina yake halisi?
GabrielNauliza krefu cha herufi G kwenye jina la marehemu Gadner G Habash na je hayo ndio majina yake halisi?
Gangwe Iła mwanae anasema ni Gongo la MbotoNauliza krefu cha herufi G kwenye jina la marehemu Gadner G Habash na je hayo ndio majina yake halisi?
Sema nilimkubali siyo kumpenda. Dume huwezi ukampenda dume mwenzako unamkubali.Nilimpenda sana mwamba rip
Wewe jamaa utakuwa msukuma au mkurya.Gomamuli