Habari JF,
JPM aliamini corona itaendelea kuwepo na tutaishi nayo kama yalivyo magonjwa mengine, kiuhalisia ndivyo ilivyo corona ipo na idadi ya watu waliopata chanjo ni ndogo sana na watu walishapata kinga asilia sasa hivi sio tishio tena. Lakini bado watu wakiwemo madaktari wanalaumu approach yake kwenye ishu.
Swali langu ni lipi lilikuwa kosa lake?
Je, ni kutoweka lock down?
Je, ni kupinga chanjo?
Je, ni kupinga njia za kitaalamu kama kuvaa barakoa na njia hizi zilisaidia kwa kiasi gani sehemu nyingine ?
Kwangu Mimi mnyonge mnyongeni katika hili alistahili tuzo.
JPM aliamini corona itaendelea kuwepo na tutaishi nayo kama yalivyo magonjwa mengine, kiuhalisia ndivyo ilivyo corona ipo na idadi ya watu waliopata chanjo ni ndogo sana na watu walishapata kinga asilia sasa hivi sio tishio tena. Lakini bado watu wakiwemo madaktari wanalaumu approach yake kwenye ishu.
Swali langu ni lipi lilikuwa kosa lake?
Je, ni kutoweka lock down?
Je, ni kupinga chanjo?
Je, ni kupinga njia za kitaalamu kama kuvaa barakoa na njia hizi zilisaidia kwa kiasi gani sehemu nyingine ?
Kwangu Mimi mnyonge mnyongeni katika hili alistahili tuzo.