sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,450
- 5,179
Kama ukiniona kwa mbali tu au tukiongea kwenye simu, au ukiona picha yangu, naonekana handsome flani, kijana mwenye kujiamini na mwenye sifa kedekede, ila ukikaa na mimi dakika kadhaa tukaongea, utaniona ni mtu mshambamshamba, nisie jiamini, mwenye mambo ya kitoto na kadharka.
mara nyingi unakuta watu wananihofia sana ila wakishanizoea wanasema kua kumbe ni mshamba mshamba tu ingawa physic yangu inasema tofauti.
Naweza ongea na msichana kwa simu na akaona picha yangu akajua ni bonge la bwana ila tukikutana tu baada ya muda anapoteza interest kwakua ameshaona ule ushamba wanu na kutokujiamini. mimi mwenyewe nalifahumu hili ila sijui natokaje, naomba msaada wa mawazo
mara nyingi unakuta watu wananihofia sana ila wakishanizoea wanasema kua kumbe ni mshamba mshamba tu ingawa physic yangu inasema tofauti.
Naweza ongea na msichana kwa simu na akaona picha yangu akajua ni bonge la bwana ila tukikutana tu baada ya muda anapoteza interest kwakua ameshaona ule ushamba wanu na kutokujiamini. mimi mwenyewe nalifahumu hili ila sijui natokaje, naomba msaada wa mawazo