Nina pikipiki binafsi naomba mchongo

Mwamba 23

Member
Feb 15, 2024
42
101
Habari ndugu zangu poleni na majukumu ya kilasiku
Kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana wa kiume umri 22 ni mwanachuo wa chuo x hapa Dar kutokana na changamoto za usafiri plus Nauli nikijichanga nkawa na usafiri wangu.

Nimekuja ndugu zanguni mnisaidie kupata mishe yoyote iwe ya kufanya delivery, transportation na nyingine yoyote ambayo utahusisha usafiri wangu kwa siku za kazi mana nina wastani wa vipindi viwili kwa siku kila kimoja masaa mawili hivyo nina masaa manne chuoni.

Naa hata ikiwapendeza nikapata kijiwe ambapo nitafanya bodaboda(kwa weekend) nitashukuru sana mana kwa ninapokaa ni mgeni na boda ni nyingii nilichonga na boda mmoja aliniambia tuu kuna ubinafsi mwingi sana

Pikipiki yangu ni used ipo na hali nzuri nawaombeni Ndugu zangu wakubwa zangu ushirijiano katika hili...Mungu awabariki napokea na ushauri
 
Habari ndugu zangu poleni na majukumu ya kilasiku
Kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana wa kiume umri 22 ni mwanachuo wa chuo x hapa Dar kutokana na changamoto za usafiri plus Nauli nikijichanga nkawa na usafiri wangu.

Nimekuja ndugu zanguni mnisaidie kupata mishe yoyote iwe ya kufanya delivery, transportation na nyingine yoyote ambayo utahusisha usafiri wangu kwa siku za kazi mana nina wastani wa vipindi viwili kwa siku kila kimoja masaa mawili hivyo nina masaa manne chuoni.

Naa hata ikiwapendeza nikapata kijiwe ambapo nitafanya bodaboda(kwa weekend) nitashukuru sana mana kwa ninapokaa ni mgeni na boda ni nyingii nilichonga na boda mmoja aliniambia tuu kuna ubinafsi mwingi sana

Pikipiki yangu ni used ipo na hali nzuri nawaombeni Ndugu zangu wakubwa zangu ushirijiano katika hili...Mungu awabariki napokea na ushauri
Dar es salaam huna haja ya kufikiria sana kuhusu kuwa na kijiwe sababu kila unapopita wateja wapo. Kwahiyo cha kufanya kwanza jiunge bolt anzia hapo,muda unaokuwa free washa data wateja watakutafuta. Wewe tengeneza tu mizunguko yako ya yapa na pale Dsm hakuna haja ya kuapaki mahali.
 
Dar es salaam huna haja ya kufikiria sana kuhusu kuwa na kijiwe sababu kila unapopita wateja wapo. Kwahiyo cha kufanya kwanza jiunge bolt anzia hapo,muda unaokuwa free washa data wateja watakutafuta. Wewe tengeneza tu mizunguko yako ya yapa na pale Dsm hakuna haja ya kuapaki mahali.
Asante kwa ushauri jee inawezekana kujiunga bolt kwa pikipiki ambayo ni used?
 
Hongera kijana, umeanza kupambana mapema.! Mi boda mkongwe, n kweli vijiweni wanafitina sana, watakuambia kiingilio ambacho huwezi kukifikia.

Tafuta eneo tu we paki, utakuta wengine wanakufuata kijiwe kinakua hai na pesa unapiga
Shukran kiongozi
 
Jaribu kujiunga bolt na uber , then kuhusu kijiwe ongea na WATU wa mtaani hapo watakupa kijiwe

Then swala la riziki ndo huwa linaweza kukufanya waogope kukukaribisha katika kijiwe Chao.

Ila ukweli kupata riziki kila MTU lazima apate.

Hivyo mkuu zingatia kuwaelimisha hao jamaa then waambie wewe ni mwanachuo hiyo kazi unafanya Kama side hustle kujipatia RIZIKI ili ulipe Ada , kodi n.k

Ukiwapa hayo maelezo watakuelewa mkuu na kukukaribisha.

Then at ur age , ujilinde na wanawake Sana pamoja na pombe ili usipoteze focus plus hyper focus.
 
Back
Top Bottom