APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,686
Kama picha inavyojionyesha,nimejenga hili banda kwa kutumia mbao mwanzo mwisho,wengine wananiambia ni gejenga banda la chuma,wengine wananiambia nimetumia gharama sana kujenga banda hili maana mbao zimekuwa ghari,wabongo wanakatisha sana tamaa,yani wanaona nina pesa kwa kuwa nimejenga kwa mbao hawajui kuwa nilijipanga kwa mda mrefu sana,niamini mtu ukitaka kufanya chako usiangalie watu watasemaje,hili nimemjengea dogo afanye shughuli zake za ufundi simu.
Nawasilisha ndugu zangu...