Nimeotesha Kiwano Melon na Mwakani nitafanya Market testing

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,926
Nimesia Kiwano meloni ingawa nilipata tunda moja ambalo ndio nimekamua mbegu, ila sio mbaya sana, na natarajia hadi mwakani mwezi wa 3 nifanye Market testing ya haya matunda kwenye baadhi ya Super Market kubwa Arusha kwa kuanzia na ikienda sawa tutaanza mass production.

Kiwano mellon kwa Masoko ya Asia, Ulaya na Marekani yapo sana na yanauzwa bei ilio changamka na Kiwano Melon asili yake ni Africa Kusini mwa jwangwa la Sahara.

Ila huko Asia wanalima sana now, kwa kutoa mbegu Africa.

FB_IMG_1701618335775.jpg
FB_IMG_1701618285450.jpg
 
Nimesia Kiwano meloni ingawa nilipata tunda moja ambalo ndio nimekamua mbegu, ila sio mbaya sana, na natarajia hadi mwakani mwezi wa 3 nifanye Market testing ya haya matunda kwenye baadhi ya Super Market kubwa Arusha kwa kuanzia na ikienda sawa tutaanza mass production.

Kiwano mellon kwa Masoko ya Asia, Ulaya na Marekani yapo sana na yanauzwa bei ilio changamka na Kiwano Melon asili yake ni Africa Kusini mwa jwangwa la Sahara.

Ila huko Asia wanalima sana now, kwa kutoa mbegu Africa.

View attachment 2832350View attachment 2832351
Mkuu tunaomba zaidi maelezo juu ya hili melon. Lina sukari (ni tamu), muda wa ukomaaji baada ya upandaji. Changamto zake ni zipi au kwasababu ni ya kusini mwa jangwa na uhalisia wa miiba kupelekea kuwa vumilivu.
 
Nimesia Kiwano meloni ingawa nilipata tunda moja ambalo ndio nimekamua mbegu, ila sio mbaya sana, na natarajia hadi mwakani mwezi wa 3 nifanye Market testing ya haya matunda kwenye baadhi ya Super Market kubwa Arusha kwa kuanzia na ikienda sawa tutaanza mass production.

Kiwano mellon kwa Masoko ya Asia, Ulaya na Marekani yapo sana na yanauzwa bei ilio changamka na Kiwano Melon asili yake ni Africa Kusini mwa jwangwa la Sahara.

Ila huko Asia wanalima sana now, kwa kutoa mbegu Africa.

View attachment 2832350View attachment 2832351
Hilo tunda mbona kama bomu la kiazi ama Grenade 🤣 lina faida gani mwilini? Ni tamu au chungu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom