Nimempata humuhumu jf..Amenikoleza

Natamani nimtaje... Nipe ruhusa yako please, nataka nikutambulishe rasmi.
Kwanza kabisa Hongera...,
Kuhusu kutajana na kuombana ruhusa si mgeulizana kwanza huko mlipo kabla ya kumwaga kuku kwenye mchele kidogo ?
 
Kwanza kabisa Hongera...,
Kuhusu kutajana na kuombana ruhusa si mgeulizana kwanza huko mlipo kabla ya kumwaga kuku kwenye mchele kidogo ?

Hahaha.. Najua kuwa kuna private but ukiona nimeanika hapa, ujue najaribu kumuonesha how serious I am.
 
Hahaha.. Najua kuwa kuna private but ukiona nimeanika hapa, ujue najaribu kumuonesha how serious I am.

Afu una bahati wewe. Na yeye yuko very serious. Namjua jamaa na misimamo yake.
 
Atakuwa LIZZY?, sorry no, Preta? hapana, madameX ERROR!, I guess Mwal NOT THIS ONE . Search.........search.........error!!!!!!!!!!!!!!!!!1 No Network found. Ni huyohuyo wako.
 
Hahaha.. Najua kuwa kuna private but ukiona nimeanika hapa, ujue najaribu kumuonesha how serious I am.

Sasa hapa si mtakua mnajitambulisha wenyewe kwa wenyewe?
Maana ID yako sio jina lako, na yake sio jina lake. Kila kitu siri
Humu couples zinazaliwa na kufa kila kukicha bila watu kuonana
Kama kweli mko serious si mkatambulishane kwa wazazi basi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom