Unajuwa Wabongo ni wajinga sana, siku moja nimemchukuwa bodaboda nikamuacha pale hazina mimi nikavuka barabara kwa mguu nikaingia ikulu kuna barua zangu muhimu nilikuwa napeleka, basi nilivyotoka kumfata tuondoke tayari anasema mimi usalama wa Taifa hadi mtaani kuna wajinga wenzake akawaaminisha hivyo.Ni watu wawili tofauti kabisaa...
Usitupange asee,,madafu na ikulu wapi na wapi??Unajuwa Wabongo ni wajinga sana, siku moja nimemchukuwa bodaboda nikamuacha pale hazina mimi nikavuka barabara kwa mguu nikaingia ikulu kuna barua zangu muhimu nilikuwa napeleka, basi nilivyotoka kumfata tuondoke tayari anasema mimi usalama wa Taifa hadi mtaani kuna wajinga wenzake akawaaminisha hivyo.
Kuna wajinga hawaelewi kama unaweza kwenda ikulu kwa shughuri zako, na wauza madafu wakaletwa pale na ofisa wa ikulu wanachekiwa getini na wana usalama na scan mashine ukiingia ndani huna madhara yoyote.
Awe yeye au siyo yeye hiyo ni Kawaida sanaUnajuwa Wabongo ni wajinga sana, siku moja nimemchukuwa bodaboda nikamuacha pale hazina mimi nikavuka barabara kwa mguu nikaingia ikulu kuna barua zangu muhimu nilikuwa napeleka, basi nilivyotoka kumfata tuondoke tayari anasema mimi usalama wa Taifa hadi mtaani kuna wajinga wenzake akawaaminisha hivyo.
Kuna wajinga hawaelewi kama unaweza kwenda ikulu kwa shughuri zako, na wauza madafu wakaletwa pale na ofisa wa ikulu wanachekiwa getini na wana usalama na scan mashine ukiingia ndani huna madhara yoyote.
Wewe Mkuu Ni Mkongwe HumuNa nakuomba kabla ya Kuja Kuhara hapa kwa huu Ukweli niliousema tuliza Akili zako zote na zilinganishe Picha zao sawa?
Nimemaliza.
SAUT wakunyang'anye degree yaoNa nakuomba kabla ya Kuja Kuhara hapa kwa huu Ukweli niliousema tuliza Akili zako zote na zilinganishe Picha zao sawa?
Nimemaliza.
Mimi pana mwaka jamaa walikua wanataka nipelele vitu ila jamaa wa kumuona Ikulu ndio ilikua rahisi kuliko Makumbusho maana Makumbusho alikua anarudi usiku na pale hakuna visit ya Usiku ila unaweza kumuona Ikulu kwa hiyo nilienda sana pale na deal langu na likafanikiwa sema watu wengi ukienda enda pale wanadhani ni sehemu ya Usalama tu kana kwamba hakuna mishe zingine zinafanyika pale...Unajuwa Wabongo ni wajinga sana, siku moja nimemchukuwa bodaboda nikamuacha pale hazina mimi nikavuka barabara kwa mguu nikaingia ikulu kuna barua zangu muhimu nilikuwa napeleka, basi nilivyotoka kumfata tuondoke tayari anasema mimi usalama wa Taifa hadi mtaani kuna wajinga wenzake akawaaminisha hivyo.
Kuna wajinga hawaelewi kama unaweza kwenda ikulu kwa shughuri zako, na wauza madafu wakaletwa pale na ofisa wa ikulu wanachekiwa getini na wana usalama na scan mashine ukiingia ndani huna madhara yoyote.
Subiri nikusalandie utanipa mchonyo tuKama afanyavyo Baba yako Mzazi vile.
Wewe huna akili, function za ikulu zinafanywa na private catering zilizosajiriwa GIPSA.Usitupange asee,,madafu na ikulu wapi na wapi??
Kama ndio hivyo Basi Yule ni wamulemule,,tuache undezi kwamba walimchukua kutoka buguruni malapa??Wewe huna akili, function za ikulu zinafanywa na private catering zilizosajiriwa GIPSA.
JF ya sasa imejaza mazuzu.View attachment 2975291
Dizasta huyu"Ukija bila guard (gadi)nitagawa wastani kwa idadi".
Muuza madafu hawezi kuwa na kauli kama hii.
Unaka uharo wako tu usifiweNa nakuomba kabla ya Kuja Kuhara hapa kwa huu Ukweli niliousema tuliza Akili zako zote na zilinganishe Picha zao sawa?
Nimemaliza.
Nenda kajiridhishe na sauti zao pia.Nilijua tu kuwa GENTAMYCINE nitaeleweka na Werevu wachache sana kama Wewe katika hili ila FOOLS wengi bado wanaamini na wanashikilia Bango kuwa ni Mtu Mmoja. Sasa ngoja kidogo Niwaelimishe hawa FOOLS wakiongozwa na ngara23 kwa kuwaambia kwamba naomba wazichukue Picha zao kisha waanze Kulinganisha Pua zao, Makomwe yao, Mashavu yao na hasa hasa waende katika Macho yao na wakimaliza warejee hapa Kwangu GENTAMYCINE na wakiri kuwa wao ni Wapumbavu daima.