GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,852
- 109,552
Na nakuomba kabla ya Kuja Kuhara hapa kwa huu Ukweli niliousema tuliza Akili zako zote na zilinganishe Picha zao sawa?
Nimemaliza.
Nimemaliza.
Kwa kujiamini kabisa na nikiwa na uhakika wa 100% GENTAMYCINE nasema kuwa wale ni Watu wawili tofauti. Kajiridhishe nao.Maneno ya nini? Walete wote wawili wahojiwe😀
ni mtu yuleyuleNa nakuomba kabla ya Kuja Kuhara hapa kwa huu Ukweli niliousema tuliza Akili zako zote na zilinganishe Picha zao sawa?
Nimemaliza.
Idiot nasema tena kwa Kujiamini tena kwa 100% kuwa wale ni Watu Wawil tofauti ila najua Wapumbavu mtalazimisha mtakavyo.Yule ni mtu mmoja
Hakuna utofauti wowete
Wewe unadhani ikuli ni Buguruni uende uzulule tu
Kwa kujiamini kabisa na nikiwa na uhakika wa 100% GENTAMYCINE nasema kuwa wale ni Watu wawili tofauti. Kajiridhishe nao.ni mtu yuleyule
Mbona hawafanani shape ya fuvu kabisa, waTanzania nao ujuaji mwingi sana.Yule ni mtu mmoja
Hakuna utofauti wowete
Wewe unadhani ikuli ni Buguruni uende uzulule tu
sasa jamaa asipoleta ujinga alete nini mkuuUmeishiwa mijadala ya michezo unakuja kuongea ujinga hapa
Nilijua tu kuwa GENTAMYCINE nitaeleweka na Werevu wachache sana kama Wewe katika hili ila FOOLS wengi bado wanaamini na wanashikilia Bango kuwa ni Mtu Mmoja. Sasa ngoja kidogo Niwaelimishe hawa FOOLS wakiongozwa na ngara23 kwa kuwaambia kwamba naomba wazichukue Picha zao kisha waanze Kulinganisha Pua zao, Makomwe yao, Mashavu yao na hasa hasa waende katika Macho yao na wakimaliza warejee hapa Kwangu GENTAMYCINE na wakiri kuwa wao ni Wapumbavu daima.Mbona hawafanani shape ya fuvu kabisa, waTanzania nao ujuaji mwingi sana.
Uliambiwa kuwa ID ya GENTAMYCINE ni Maalum tu kwa Habari na Chambuzi za Michezo tu hapa JamiiForums? Pumbavu.Umeishiwa mijadala ya michezo unakuja kuongea ujinga hapa
Ya kukupachika Mimba zangu kila mwaka inanitosha.Tafuta kazi mkuu .. huo muda unaupata wapi
Naona FOOLS mnakubaliana Upuuzi hapo. Hongereni.sasa jamaa asipoleta ujinga alete nini mkuu
huyo mzee wa kupanic
Ambaye kaaminiwa na yuko Ikulu akiendelea na Majukumu yake ambayo ndani ya miaka Miwili yatakuwa na Msaada EAC.Hizi ndo mada za graduate ndani ya JamiiForums
Sio tu Graduate..ndio GT wa kitanzania haoHizi ndo mada za graduate ndani ya JamiiForums