Nimehitimu Masters ya Usimamizi na Utawala, natafuta kazi

Kidashala

New Member
Apr 4, 2024
4
3
Habar za jioni wana jukwaa,

Ninaomba msaada mimi ni muhitimu wa master ya elimu Usimamizi na Utawala.

Sasa tokea nimalize nimekua natafuta kuhama idara japo nisogee katika idara zingine mfani Necta TET TEA na kwingine ambapo nina endana na elimu yangu.

Kama kuna mwanajukwaa anaweza nisaidia kupata namna ya kuchomoka tuwasiliane.
 
Habar za jioni wana jukwaa,

Ninaomba msaada mimi ni muhitimu wa master ya elimu Usimamizi na Utawala.

Sasa tokea nimalize nimekua natafuta kuhama idara japo nisogee katika idara zingine mfani Necta TET TEA na kwingine ambapo nina endana na elimu yangu.

Kama kuna mwanajukwaa anaweza nisaidia kupata namna ya kuchimoka tuwasiliane
hivi kumbe confidence building wanafundishwa na kusoma watu wa diplomasia tu, kada nyingine hawafundishwi?🐒

uoga wako ndio umaskini wako....
mbona jambo naona kabisa liko ndani ya uwezo wako...

hebu vaa ujasiri, vua uoga,
tafadhali maliza hiyo kitu bana 🐒

acha unyonye,
au kiwango cha ufaulu wa masters yako ni Borderline Pass au Pass🐒
 
hivi kumbe confidence building wanafundishwa na kusoma watu wa diplomasia tu, kada nyingine hawafundishwi?🐒

uoga wako ndio umaskini wako....
mbona jambo naona kabisa liko ndani ya uwezo wako...

hebu vaa ujasiri, vua uoga,
tafadhali maliza hiyo kitu bana 🐒

acha unyonye,
au kiwango cha ufaulu wa masters yako ni Borderline Pass au Pass🐒
Ufaulu mzur kk sema conection ngum km unaweza nisaidia fanya jambo
 
Habar za jioni wana jukwaa,

Ninaomba msaada mimi ni muhitimu wa master ya elimu Usimamizi na Utawala.

Sasa tokea nimalize nimekua natafuta kuhama idara japo nisogee katika idara zingine mfani Necta TET TEA na kwingine ambapo nina endana na elimu yangu.

Kama kuna mwanajukwaa anaweza nisaidia kupata namna ya kuchomoka tuwasiliane
 
Habar za jioni wana jukwaa,

Ninaomba msaada mimi ni muhitimu wa master ya elimu Usimamizi na Utawala.

Sasa tokea nimalize nimekua natafuta kuhama idara japo nisogee katika idara zingine mfani Necta TET TEA na kwingine ambapo nina endana na elimu yangu.

Kama kuna mwanajukwaa anaweza nisaidia kupata namna ya kuchimoka tuwasiliane
Nenda DP World.
 
Huku ukitegeshea kushikwa mkono jf komaa na kutafuta huko mitaani Pia maisha ni kuhaso bila kuchoka
 
Wabongo kwa kukatish tamaa hamjambo yaaani kiwe kizur shida kiwe kibaya ndo kabis yaan mmh
Ukifanya kazi japo hata kwa miaka miwili utajua uchukue masters ya mrengo upi hasa badala ya kukurupukia....yaan utafanya masters ambayo utaifaidi kazin na sio ibakie kwenye makaratasi
 
Ukifanya kazi japo hata kwa miaka miwili utajua uchukue masters ya mrengo upi hasa badala ya kukurupukia....yaan utafanya masters ambayo utaifaidi kazin na sio ibakie kwenye makaratasi
Nyie sio mungu bn ingekuwa hivi nazani hapa tz kungekuwa hakun wasomi wenye level za phd alaf wengi weny haya maoni ukifatilia ni diplom wana chuki san sijui why Yaani unakut mtu anakup option kibao zakutish utazani yeye ndo anagawa kaz ukirud kuona maish anayosem ana kazi bora hata ambae huna .... binadamu ukifany maamuz ya maish yako usifikilie mtu au watu maana watakupoteza hata huyo akifany masters atapat sehem atapt expirience na kaz zikitok zenye sifa yake ataomba atapat kuna na wengi masters kwenye makampuni wanapata nafac za kujitolea wanalipwa vizur tu
 
Nyie sio mungu bn ingekuwa hivi nazani hapa tz kungekuwa hakun wasomi wenye level za phd alaf wengi weny haya maoni ukifatilia ni diplom wana chuki san sijui why Yaani unakut mtu anakup option kibao zakutish utazani yeye ndo anagawa kaz ukirud kuona maish anayosem ana kazi bora hata ambae huna .... binadamu ukifany maamuz ya maish yako usifikilie mtu au watu maana watakupoteza hata huyo akifany masters atapat sehem atapt expirience na kaz zikitok zenye sifa yake ataomba atapat kuna na wengi masters kwenye makampuni wanapata nafac za kujitolea wanalipwa vizur tu
Kaza fuvu utachukua masters ambayo hautajaifanyia kazi
 
Back
Top Bottom