Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Mnadhani hii imewekwa mdalasini, iriki, tangawizi ama ni chai tu yenye majani na sukari??
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekarini kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.

Tukiwa tunatoka Asubuhi tunatoka wote mimi na mume wangu ananiacha kazini kwangu yeye anaenda kazini kwake na jioni anapitia tunarudi nyumbani, hayo ndio maisha yetu ya kila siku baisi maisha yetu ya furaha na amani ndani ya nyumba yetu.

Basi wala hakuna maugomvi Sasa hapa juzi jioni nimetoka kazini nimekaa na mdada wa kazi alikuwa busy na kuchati Basi nikasema ngoja nimtume kwa kumshtukiza

Basi nikafanya hivyo halafu yeye akanyanyuka kwa kuogopa nikamwambia hebu nenda dukani mara moja akata kuondoka na simu nikamwambia hebu acha simu hapo kimbia, hakubisha akaacha mimi Tena nikachukua simu yake nikaanza kusoma msj kumbe bwana anachati na mume wangu Mambo ya mapenzi.

Jamani nyinyi acheni tu kumbe mume wangu anavyonishusha mimi kazini kwangu anaenda kazini kwake anaweka saini anarudi nyumbani, nyinyi ajue Mungu jinsi mume wangu anavyonijali sijawahi kuamini kama anaweza nifanyia haya Basi bwana mimi nikaiweka simu yake Wala nikaendelea kuangalia TV.

Kama Sina ninalojua akarudi akaleta nilichomtuma akaingia ndani mimi nikainuka nikaandaa meza Nikamuita mume wangu na dada wa kazi wakaja tukakaa mezani tukala. Mimi napenda Sana matani nikawatania pale tukacheka Sana Yani Kama vile Sina kitu najua nikaingia ndani kwangu nikaoga nikaingia kitandani nikalala.

Mume wangu nae akaja tukalala akataka chakula chake Cha usiku nikampa tukalala langu rohoni jamani Basi Asubuhi tumeamka dada kashaandaa kifungua kinywa tukanywa tukawa tunaenda kazini na mume wangu,

Kama kawaida nikamwita dada nikamtuma mbali Sana Yani Basi ss tukaondoka zetu kazini nimefika eneo langu kazi mume wangu akanishusha yy akaenda kazini kwake na mm mda huo huo nikamwita boda boda fasta nikamwambia anipeleke nyumbani.

Basi boda akafanya Kama nilivyomwambia muda tu nipo nyumbani nikamlipa boda nikafungua mlango nikaingia ndani nikaufunga Kama nilivyoukuta nikaingia ndani nikaa kidogo mara nikamsikia dada anarudi nikaingia ndani kwake nikaingia uvungu wa kitanda chake kimya.

Yeye kaingia akawa anaongea na simu kwa mahaba jamani anaongea na mume wangu anamwambia tayari kasharudi Basi mume wangu sijui alikuwa anamchekesha nini anacheka sana mdada Basi mara kukaa kidogo nasikia muungurumo w a gari mume wangu kaingia.

Basi jamani kapokelewa pale na mahaba motomoto Basi mume wangu akaanza kumbusu kushikashika mda mpaka ndani kwa mdada wa kazi wakaanza mahaba yao mdada kashika dudu la mume wangu akaanza kunyonya mume wangu anaugumia Kama ng'ombe kanyang'anywa mwanawe jamani mimi nimejilaza tu moyo unavuja damu tu uko chini.

Basi wakaanza kufanya mapenzi jaman mdada anavyonungunika kwa mahaba mume wangu maneno anayotoa jaman nilishindwa kutoka kule uvunguni nikajikuta nazimia sikujua Tena kinachoendelea nimekuja kujistukia nipo hospital, naamka namkuta mume wangu yupo pembeni yangu analia.

Naangalia mkononi Nina madrip nikakumbuka kilichotokea nikaliaa Sana nikamwambia mume wangu kabla sijatoka apa naomba uyo dada wakazi nisimkute maana nitamuua akaondoka, mimi nikaa hospital yy akarudi nyumba akamuondoa huyo mdada Sasa sijui kamrudisha kwao au kampeleka mahali, Yani mimi na ww sijui .

Yani hapa Sina raha mume wangu namuona Kama takataka Yani sijui hata nifanye nini mimi hakuna ndugu yangu Wala rafiki yangu anaejua hili naombeni mnipe faraja na ushauri ulio sahihi nifanye nini ndugu yenu.
Remember
As a man

If your value is high enough...

Girls will forgive you almost anything.
 
Back
Top Bottom