Makorokoro Bondeni
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 561
- 858
Unataka kutengeneza Supersonic missiles, wakati hujawahi kutengeneza hata baiskeli,hizo ni ndoto za alinacha.
Wakuoneshe vipi hayo unayotaka wakati nchi Yako Bado masikini!?Hao jamaa sijui kwa nini hawabadiliki miaka na miaka mimi nilitegemea miaka 60 ya uhuru watuoneshe namna watakavyozibiti shambulizi la drone za kusafirisha mabomu kama zile zilizokuwa zikitunguliwa na Israel kutokea Iran.
Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.
Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??
View attachment 2974562
Watakavyozibiti= watakavyodhibiti, hivi kweli kiswahili kimetushinda?!Hao jamaa sijui kwa nini hawabadiliki miaka na miaka mimi nilitegemea miaka 60 ya uhuru watuoneshe namna watakavyozibiti shambulizi la drone za kusafirisha mabomu kama zile zilizokuwa zikitunguliwa na Israel kutokea Iran.
Endelea kuuza maziwa, mambo ya medani huwezi kuyaelewa.Ukweli mtupu,jeshi letu sasa liwekeze kwenye teknolojia.Vita vya kisasa ni vya teknolojia.Watu wanapigana bila kuonana,wanarusha silaha na wengine wanatungua,nchi hazijapakana lakini zinapigana vita bila kutuma meli yenye maelfu ya wanajeshi.
Siyo lazima tuvumbue vifaa vya kisasa tunaweza kuiba/kuiga ujuzi.
Haya mambo ya kubeba mizigo kama makuli yameputwa na wakati.
Tunachekwa.
Pole kwa kukosa kazi jeshini, kurutu.Hili jeshi au genge la makuli wabeba mizigo sokoni Temeke ? , nguvu nyingi akili kisoda .
Jwtz ni takataka
Jeshi limejaza wapumbavu akili ndogo ,ambao kazi yao ni kugombania malaya bar na wananchi .jeshi linaloajiri failures bila merits .
Jeshi la kipumbavu linalotumika kisiasa na maharamia ccm .
Jeshi la kishenzi lisiloenda na wakati na kuwekeza katika technology .
Jwtz ni mavi
Serikali haitaki kuwekeza kwenye teknolojia wao wafanyeje?Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.
Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??
View attachment 2974562
Medani za kubeba gunia sio?Endelea kuuza maziwa, mambo ya medani huwezi kuyaelewa.
Pale hamna kitu kimeonyeshwa, real mission hawaendi hivyo. Zile ni show of force, demontu for public stuntsKwani lazima muoneshe kitu? Mngeimba kwaya tu. Hiki kinachooneshwa ni kichekesho.
Huna unachojua kuhusu jeshi!Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.
Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??
View attachment 2974562
Wanajeshi wenyewe tunaelewa nini maana yake, we endelea kucheza hui mwaka hee!Binafsi huwa sielewi hii sinema ya kubega mizigo mizito ina maana gani.
Kwamba huyo jamaa akiwa anaenda front line kuokoa au kuteka anaondoka kambini, nyumbani akiwa hivyo au ni kututisha raia huku mtaani?.
Mtu ambaye hajapitia ingalau hata mgambo utamjua tu.Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.
Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??
View attachment 2974562
Najua bhana, si ndiyo jeshi hili hili lilikiwa linagombania mavazi na raia? Eti raia akivaa mavazi yanayofanana na jeshi litashindwa kufanya kazi. Pathetic and absurd!Huna unachojua kuhusu jeshi!