Nimechukizwa sana kuona Majeshi yetu yanaonesha umahiri wao kwa kubeba kilo 70 za mizigo

Hao ni makomando ambao wapo kwenye mission mashariki ya Congo kwenye misitu ya Beni au ituri huko.... Haya maonyesho yana ujumbe wake kulingana na mgeni au wageni rasmi au mwenendo wa Geopolitical wa eneo husika.
Kipindi Cha JK maonyesho yalitawala sana uwezo wa vifaa vya kivita. Tena vifaa vinavyoonyeshwa ni vile ambavyo mpelekewa ujumbe Hana.
Kijeshi, haiwezekani kuja kuonyesha teknolojia ya Jeshi letu eneo lile eti jinsi tunavyotrap drones ama la, hiyo ni sawa na kuuza ramani.
KAMA CODES NA MIDANIA YA KIJESHI HAUIJUI NI BORA UKAKAA KIMYA
 
Dunia nzima lazma mazoez ya kijeshi pia yawe magumu na yenye kujenga misuli yenye nguvu kwa wanajeshi kwakuw nyakat za vta ni ngumu kulko unavyozan na lazma waingie field sambamba na unalosema pia labda useme kuwa hujaona maendeleo ya kiteknolojia ktk uvumbuzi wa zana za kivita nalo ni jambo muhm katk dunia ya sasa

Na zaid wanao buni hizo sislaa za kivita based on high technology inategemeana na sera za nchi na uwekezaji wake ktk technology,.

bado tz hatujawekeza katk technology hata kwa 37% tupo tupo tuu tunachanganya mambo
 
Ukweli mtupu,jeshi letu sasa liwekeze kwenye teknolojia.Vita vya kisasa ni vya teknolojia.Watu wanapigana bila kuonana,wanarusha silaha na wengine wanatungua,nchi hazijapakana lakini zinapigana vita bila kutuma meli yenye maelfu ya wanajeshi.
Siyo lazima tuvumbue vifaa vya kisasa tunaweza kuiba/kuiga ujuzi.

Haya mambo ya kubeba mizigo kama makuli yamepitwa na wakati.
Tunachekwa.
 
Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.

Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??

View attachment 2974562
Hizo ni show offs, demo lakin kwenye acctual mission hawaendi na hivi vitu
 
Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.

Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??

View attachment 2974562
Halafu mambo ya kijeshi kama hayo kwenye Muungano maana yake nini ? au Muungano huu ni wa kimabavu ?
 
Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.

Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??

View attachment 2974562
Kama umewahi kusoma yale magazeti ya SANI kuna dingi anaitwa Baba ubaya alikuwa akiingia kwenye varangati anabeba zana zaidi ya 100 lakini anachezea kichapo...
 
Siku kama ya Leo isingekuwa siku ya kuonyesha maagizo ya Ukomando! Ingekuwa siku ya kuonyesha mafanikio yaliyopatikana kutokana na Muungano wetu mf.kiviwanda,kiuchumi,huduma za jamii,kiafya,nk
Muungano wetu haukupatikana kwa mtutu wa bunduki mpaka tuonyeshe harakati za kijeshi kana kwamba kuna tisho lo lote la kijeshi kutoka nje la kuvamia nchi yetu.
Hata hivyo tunawapongeza wanajeshi wetu kwa kutupa imani kuwa nchi yetu iko salama.
 
Iran anaishambilia Israel bila kutuma mwanajeshi. Israel inaishambulia Iran ama Syria bila kutuma mwanajeshi.

Sidhani kama wanajeshi wao wanabeba kilo 100 za mizingo mgongoni.
Geographia ya iran na tz ni tofauti, na maadui ni tofauti sie majeshi yetu anapambana na waasi wa m23 janjaweed na wapuuzi akina mbowe, hawa wakwetu ni wakupiga makofi tu sio wakushambuwa kwa drones
 
Hili jeshi au genge la makuli wabeba mizigo sokoni Temeke ? , nguvu nyingi akili kisoda .
Jwtz ni takataka
Jeshi limejaza wapumbavu akili ndogo ,ambao kazi yao ni kugombania malaya bar na wananchi .jeshi linaloajiri failures bila merits .
Jeshi la kipumbavu linalotumika kisiasa na maharamia ccm .
Jeshi la kishenzi lisiloenda na wakati na kuwekeza katika technology .
Jwtz ni mavi
 
Back
Top Bottom