Niliwaonya hapa hapa kuwa Kawaondoeni Ndugu zenu kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola kwani 'Namba M' hawana Masihara mkanipuuza

Na baadhi ya wale ninaoongea nao kutoka kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola wanasema kuwa Walioondoka na Pumzi ya Moto siyo Watatu ila wako Tisa na huenda Wasafiri wengine wa Kuondoka na hawa Abiria Wazembe Watatu hadi Kenda ( Tisa ) tunaotamba nao Wakaongezeka.

Shikamooni sana Namba M na labda sasa kuna Wapuuzi fulani hivi wa nchi moja watakuwa wanafuata nisemayo Ok?
mzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0742757243
 
Tatizo ni kanuni ya kulinda amani hairuhusu kupigana. Vikosi vya SADC vingeruhusiwa kupiga hao namba M siku nyingi tungeishawasahau kwa kichapo ambacho wangekipata
Acha uongo, wakati M23 wanalalamika JWTZ imewashambulia mlifurahia, ila baada ya kutunguliwa mmeanza kuhamisha magoli. Viva M23 lindeni ardhi yenu dhidi ya Intarahamwe.
 
Tatizo ni kanuni ya kulinda amani hairuhusu kupigana. Vikosi vya SADC vingeruhusiwa kupiga hao namba M siku nyingi tungeishawasahau kwa kichapo ambacho wangekipata
Vikosi vya SADCMIDRC sasa vina mandate ya kufanya mapigano Kamili, hawa sio waangalizi bali ni vikosi vinavyopaswa kumfuata adui na kumuangamiza. Ni tofauti na mandate waliokuwa nayo EACMIDRC....Kanuni ni moja tu, Mwinda huwindwa.
 
Na baadhi ya wale ninaoongea nao kutoka kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola wanasema kuwa Walioondoka na Pumzi ya Moto siyo Watatu ila wako Tisa na huenda Wasafiri wengine wa Kuondoka na hawa Abiria Wazembe Watatu hadi Kenda ( Tisa ) tunaotamba nao Wakaongezeka.

Shikamooni sana Namba M na labda sasa kuna Wapuuzi fulani hivi wa nchi moja watakuwa wanafuata nisemayo Ok?
Coded again
Tuhurumie fungua code mkuu
 
Na baadhi ya wale ninaoongea nao kutoka kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola wanasema kuwa Walioondoka na Pumzi ya Moto siyo Watatu ila wako Tisa na huenda Wasafiri wengine wa Kuondoka na hawa Abiria Wazembe Watatu hadi Kenda ( Tisa ) tunaotamba nao Wakaongezeka.

Shikamooni sana Namba M na labda sasa kuna Wapuuzi fulani hivi wa nchi moja watakuwa wanafuata nisemayo Ok?
Sasa wanajeshi kuviziwa na kurushiwa RPG ni kitu cha ajabu vitani???
Acha utoto na ujuaji....
Una mahaba na mjomba wangu...KAGAME.
Basi kajiunge na RPF second division kule kivu kaskazini na kusini
 
DRC mnamkomboa nani? Zaidi ya kuwaasiadia intarahamwe warudi Rwanda.
Hapo nakataa mkuu.
Intarehamwe karibia wote wameshakufa na kuzeeka.....vilivyobaki ni vizazi vya watoto wahutu wenye haki ya kurudi kwao.
Hata kagame wazazi wake walikimbia Rwanda....lakini hiyo haikuondoa haki yake ya kurudi kwao.
NB: WATARUDI TU KWA NJIA ILE ILE WALIYORUDI NAYO AKINA KAGAME
 
Vikosi vya SADCMIDRC sasa vina mandate ya kufanya mapigano Kamili, hawa sio waangalizi bali ni vikosi vinavyopaswa kumfuata adui na kumuangamiza. Ni tofauti na mandate waliokuwa nayo EACMIDRC....Kanuni ni moja tu, Mwinda huwindwa.
Yeah mwinda huwindwa......wameviziwa wametipiwa RPG ZA KUTOSHA
 
Acha uongo, wakati M23 wanalalamika JWTZ imewashambulia mlifurahia, ila baada ya kutunguliwa mmeanza kuhamisha magoli. Viva M23 lindeni ardhi yenu dhidi ya Intarahamwe.
Hapo ndio mimi nawakataa wajomba zangu wanyarwanda......YAANI SASA HIVI KILA MUHUTU NI INTAREHAMWE HATA KAMA KAZALIWA KUANZIA MWAKA 1994.
KILA MUHUTU AKIMPINGA KAGAME NI INTAREHAMWE.
SASA HIVI WATUSI HAWATAKI WAHUTU WARUDI RWANDA.
HAKUNA TOFAUTI NA KIPINDI KILE WAHUTU WANAWABAGUA NAKUWAUA WATUSI FOR ALMOST 30 YEARS UNTIL 1994.
Ubaguzi utawatafuna sana wajomba zangu wanyarwanda
 
Hongera M23 msikubali ujinga wa SADC. Ardhi ni ya kwenu kwanini mfukuzwe. Banyamulenge ni wacongo kwanini wafukuzwe kwenye ardhi yao kisa Wana asili ya kitusi. Very stupid SADC
Siku vizazi vya wakimbizi wahutu wa kinyarwanda wakirudi rwanda na kuishi kwa amani yoote haya yataisha.
Ubaguzi kati ya jamii za wakongo na wanyarwanda ni jambo la kuhuzunisha
 
Back
Top Bottom