GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,015
- 109,934
Na baadhi ya wale ninaoongea nao kutoka kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola wanasema kuwa Walioondoka na Pumzi ya Moto siyo Watatu ila wako Tisa na huenda Wasafiri wengine wa Kuondoka na hawa Abiria Wazembe Watatu hadi Kenda ( Tisa ) tunaotamba nao Wakaongezeka.
Shikamooni sana Namba M na labda sasa kuna Wapuuzi fulani hivi wa nchi moja watakuwa wanafuata nisemayo Ok?
Shikamooni sana Namba M na labda sasa kuna Wapuuzi fulani hivi wa nchi moja watakuwa wanafuata nisemayo Ok?