LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,749
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo.
Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivyovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena.
Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo.
Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,
Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saa mbili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto.
Basi nikamwambia afanye awezalo mimi nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi.
Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu.
Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga.
Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,
Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.
Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndio yaliyonikuta mimi kwa kujifanya ni wa huruma.
Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivyovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena.
Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo.
Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,
Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saa mbili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto.
Basi nikamwambia afanye awezalo mimi nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi.
Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu.
Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga.
Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,
Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.
Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndio yaliyonikuta mimi kwa kujifanya ni wa huruma.