Nilimpenda lakini hana maana

mamitod

JF-Expert Member
May 20, 2015
914
385
Wadau niwaulize,

Ulishawahi kupenda mpaka ukajiona zuzu? Nilimpa jamaa moyo wangu mwisho wa siku tumeneemeka akaanza kudokoa nje. Amesahau viapo ahadi na hata familia. Anarudi home kwa sababu zake. Nimechoka nina mpango nijiengue taratibu.

Na kama yumo humu ajue habari ndio hiyo
 
ukijiengua utakuwa unafanya kosa kubwa ni bora ukomae hapo hapo anaweza kuja kubadilika
au fuja mali na pesa umaskini ukirudi mwenyewe atabadilika
 
Wadau niwaulize,

Ulishawahi kupenda mpaka ukajiona zuzu? Nilimpa jamaa moyo wangu mwisho wa siku tumeneemeka akaanza kudokoa nje. Amesahau viapo ahadi na hata familia. Anarudi home kwa sababu zake. Nimechoka nina mpango nijiengue taratibu.

Na kama yumo humu ajue habari ndio hiyo

Eti ujiengue! Unafikir ukijiengua ndio utampata wa peke yako? Wanaume ni sawa na kunguru hata umfuge vipi ipo sku porini atarudi tu
 
Dah uo moyo ulompa mlienda India kufanya io transplant???
Maskini bora ungewapa wale watoto wanaopelekwaga na Lions Rotary Club wanaotangazwaga na ITV.
Pole mwaya.
 
Wadau niwaulize,

Ulishawahi kupenda mpaka ukajiona zuzu? Nilimpa jamaa moyo wangu mwisho wa siku tumeneemeka akaanza kudokoa nje. Amesahau viapo ahadi na hata familia. Anarudi home kwa sababu zake. Nimechoka nina mpango nijiengue taratibu.

Na kama yumo humu ajue habari ndio hiyo

Pole sana,ila hayo yote ni maisha na kuna siku yataisha!......siku hizi michepuko ina nguvu kuliko ndoa,tumeingiliwa!!
 
Wadau niwaulize,

Ulishawahi kupenda mpaka ukajiona zuzu? Nilimpa jamaa moyo wangu mwisho wa siku tumeneemeka akaanza kudokoa nje. Amesahau viapo ahadi na hata familia. Anarudi home kwa sababu zake. Nimechoka nina mpango nijiengue taratibu.

Na kama yumo humu ajue habari ndio hiyo
Mwanaume kudokoa nje ni kawaida. Hakuna mwanaume mwenye afya njema ambaye hadokoi nje.

Halafu kama utajiengua wewe ndiye utakuwa looser, umechakaa , umezeeka na hakuna mwanaume anayekutaka , labda walevi. Yeye ataoa mtoto wa f4, nyonyo saa 6.
 
Wadau niwaulize,

Ulishawahi kupenda mpaka ukajiona zuzu? Nilimpa jamaa moyo wangu mwisho wa siku tumeneemeka akaanza kudokoa nje. Amesahau viapo ahadi na hata familia. Anarudi home kwa sababu zake. Nimechoka nina mpango nijiengue taratibu.

Na kama yumo humu ajue habari ndio hiyo
Umbeya hatuutaki wewe njoo kwa great thinker ukiwa na hoja siyo kidomodomo mama

Kama unatangaza soko sema tuzamie dm
 
Back
Top Bottom