Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 9,171
- 24,307
Endelea tu na maisha bro !
Bora ya wewe umeona, sisi wengine hatuoni yanayoendelea ila tunajipa moyo ingawa nyuma ya pazia kuna mengi mno.
Hata kama usingeona siku ya harusi ipo siku ungeona na pengine ingekuwa mbaya zaidi kuliko siku hio.
Vinginevyo wewe ni mwanaume wa shoka, uanaume haupimwi kwa maumbile kana ndevu sauti nzito nk bali uwezo wa kubeba swala nzito huku ukiendelea na mambo mengine bila wengine kuhisi au kujua, ni wachache mno wa aina yako, hata wazee wetu walikuwa wanafuka 100% lakini walikaza na kuhitimisha kitanda hakizai haramu.
Ila ijuikane mwanamke ni mtu mwenye tamaa ya asili hivyo kama unajihusisha na mwanamke juwa namna ya kukabilia na aina hio ya udhaifu wake.
Bora ya wewe umeona, sisi wengine hatuoni yanayoendelea ila tunajipa moyo ingawa nyuma ya pazia kuna mengi mno.
Hata kama usingeona siku ya harusi ipo siku ungeona na pengine ingekuwa mbaya zaidi kuliko siku hio.
Vinginevyo wewe ni mwanaume wa shoka, uanaume haupimwi kwa maumbile kana ndevu sauti nzito nk bali uwezo wa kubeba swala nzito huku ukiendelea na mambo mengine bila wengine kuhisi au kujua, ni wachache mno wa aina yako, hata wazee wetu walikuwa wanafuka 100% lakini walikaza na kuhitimisha kitanda hakizai haramu.
Ila ijuikane mwanamke ni mtu mwenye tamaa ya asili hivyo kama unajihusisha na mwanamke juwa namna ya kukabilia na aina hio ya udhaifu wake.