Nilifuma SMS za mapenzi kwenye simu ya mke siku yetu ya ndoa, bado nikamuoa lakini sasa nahisi kuchanganyikiwa sielewi nifanyeje?

Endelea tu na maisha bro !
Bora ya wewe umeona, sisi wengine hatuoni yanayoendelea ila tunajipa moyo ingawa nyuma ya pazia kuna mengi mno.
Hata kama usingeona siku ya harusi ipo siku ungeona na pengine ingekuwa mbaya zaidi kuliko siku hio.

Vinginevyo wewe ni mwanaume wa shoka, uanaume haupimwi kwa maumbile kana ndevu sauti nzito nk bali uwezo wa kubeba swala nzito huku ukiendelea na mambo mengine bila wengine kuhisi au kujua, ni wachache mno wa aina yako, hata wazee wetu walikuwa wanafuka 100% lakini walikaza na kuhitimisha kitanda hakizai haramu.

Ila ijuikane mwanamke ni mtu mwenye tamaa ya asili hivyo kama unajihusisha na mwanamke juwa namna ya kukabilia na aina hio ya udhaifu wake.
 
Endelea tu na maisha bro !
Bora ya wewe umeona, sisi wengine hatuoni yanayoendelea ila tunajipa moyo ingawa nyuma ya pazia kuna mengi mno.
Hata kama usingeona siku ya harusi ipo siku ungeona na pengine ingekuwa mbaya zaidi kuliko siku hio.

Vinginevyo wewe ni mwanaume wa shoka, uanaume haupimwi kwa maumbile kana ndevu sauti nzito nk bali uwezo wa kubeba swala nzito huku ukiendelea na mambo mengine bila wengine kuhisi au kujua, ni wachache mno wa aina yako, hata wazee wetu walikuwa wanafuka 100% lakini walikaza na kuhitimisha kitanda hakizai haramu.

Ila ijuikane mwanamke ni mtu mwenye tamaa ya asili hivyo kama unajihusisha na mwanamke juwa namna ya kukabilia na aina hio ya udhaifu wake.
ahsante sana kaka
 
Isee daah pole Sana,usimuamini mwanamke hata Kama atalia machozi ya damu,inawezekana pia mtoto asiwe wako,inawezekana kipindi yupo kwenye siku za hatari alikutana na huyo mwanaume,najiuliza tu why aombe hela ya matumizi ya mtoto inamaanisha alikutana nae kimwili Ni ngumu kuimeza,isee binafsi Kama Mimi nampiga chini,na mtoto naenda kupima,kila la heri kwenye maamuz yako maana maamuzi ya mwisho yapo kwako
 
Isee daah pole Sana,usimuamini mwanamke hata Kama atalia machozi ya damu,inawezekana pia mtoto asiwe wako,inawezekana kipindi yupo kwenye siku za hatari alikutana na huyo mwanaume,najiuliza tu why aombe hela ya matumizi ya mtoto inamaanisha alikutana nae kimwili Ni ngumu kuimeza,isee binafsi Kama Mimi nampiga chini,na mtoto naenda kupima,kila la heri kwenye maamuz yako maana maamuzi ya mwisho yapo kwako
SHUKRANI KWA USHAURI NDUGU YANGU STILL NASKUTI LAKINI SOON NTAJIFUNGA MABOMU KULIKO HII HALI NINAYOISIKIA
 
Back
Top Bottom