wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,931
- 3,299
Seems una nice new idea kwa hii sekta ya home music mkuu, ila unawasilisha kwa mabano sanaYeah i know sasa hizo 65 ni peak pia sio rms...wameenda na ujanja wa radio za gari unakuta wameandika 50w × 4 where real hazizid 22w per channel
Hizo watts sijui 65 unakuta amp inaeza fika hapo kwa sekunde moja tu sio continuous..sisi wasuka amp hizo satelite za theatre ukizipa tu tda2050 moja zinatoa jasho
Afu sio kuweka fidek namaanisha system ndogo ya kawaida hata haichukui space kubwa...kama pichan ina ukubwa gani ni kawaida kabisa ....ukipata na tower speaker pair kila mtu lazima akuulize unatumia nn ndaniView attachment 1395525
Sent using Jamii Forums mobile app