Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

Yeah i know sasa hizo 65 ni peak pia sio rms...wameenda na ujanja wa radio za gari unakuta wameandika 50w × 4 where real hazizid 22w per channel

Hizo watts sijui 65 unakuta amp inaeza fika hapo kwa sekunde moja tu sio continuous..sisi wasuka amp hizo satelite za theatre ukizipa tu tda2050 moja zinatoa jasho

Afu sio kuweka fidek namaanisha system ndogo ya kawaida hata haichukui space kubwa...kama pichan ina ukubwa gani ni kawaida kabisa ....ukipata na tower speaker pair kila mtu lazima akuulize unatumia nn ndaniView attachment 1395525
Seems una nice new idea kwa hii sekta ya home music mkuu, ila unawasilisha kwa mabano sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo brands mbili ni Hi-Fi Professional Speakers mahususi kwa Outdoor Setups. 🤣🤣🤣!

Kwa dunia ya sasa sidhani kama kuna mtu anahitaji kuweka maspika yenye size ya friji sebuleni ili tu apate mdundo ambao anaweza kuupata kwenye Compact systems.

Hapo ndipo hawa akina Sony, Bose, Onkyo,Pioneer, Yamaha, Polk audio wanapowapiga bao.

Kwahio we kama ni MC au mmiliki wa Bar kanunue hayo ma Candy sijui Fidek. Sie wanyonge tutaishi kwenye all in one box systems.

Kitu nakubaliana na wewe ni kwenye kulinganisha Sea Piano ya 120watts na Hometheatre Systems za watts 300.
Ambacho hujakielewa ni kuwa wanachofanya jamaa wa Homtheatres za watts 300 ni kuwa ile inakuwa ni peak output bro. Inpatikana baada ya kujumlisha output in rms ya individual channels.
Mfano: Sony 5.1 yenye 300w
mchanganuo wake unakuta uko hivi.
Front channels: 65w RMS x 2
Rear channels: 65 RMS x 2
Subwoofer: 40w RMS x 1
Ukijumlisha vyote unapata watts 300

Sound lazma iwe ndogo, ila sea peano unakuta bass speaker pekeake ina 120watts RMS huku satelite speakers zake zina 15w RMS each. lazma mdundo uwe mkali tu.
Uzee shida sana aisee,ndio kwanza niko kwenye umiliki wa hii kitu 😀
 

Attachments

  • 20200321_234346.jpg
    20200321_234346.jpg
    34.3 KB · Views: 11
Yeah i know sasa hizo 65 ni peak pia sio rms...wameenda na ujanja wa radio za gari unakuta wameandika 50w × 4 where real hazizid 22w per channel

Hizo watts sijui 65 unakuta amp inaeza fika hapo kwa sekunde moja tu sio continuous..sisi wasuka amp hizo satelite za theatre ukizipa tu tda2050 moja zinatoa jasho

Afu sio kuweka fidek namaanisha system ndogo ya kawaida hata haichukui space kubwa...kama pichan ina ukubwa gani ni kawaida kabisa ....ukipata na tower speaker pair kila mtu lazima akuulize unatumia nn ndaniView attachment 1395525
Kwa hyo mkuu nikiwa na million 5-7, unaweza nipangia sound ya hatari inayosikika hta umbali wa mita 300??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana kwa kutumia sound za madum za mchina.
Kwa budget yako karibu katika ulimwengu wa Sound zilizopimwa mkuu.

Kwa all-in one pack System kibongo bongo nakushauri bila kusita tafta mnyama kazi huyu Sony BDV-N9200 ambaye anamiliki burudani zote ndani kuanzia blu-ray disc playback, 4K Upscalling, bluetooth, Wifi active, Hi-Res audio playback.Kikubwa zaidi ana 1200watts RMS. Kwa bei ya mpya anacheza kwenye 2.2M ila ukienda Shop na mashuka ya Mmasai 2M cash lazma uondoke na mtambo. Hio option ya dukani.

Ila kuna Option ya mtumba pia, huku utapata kinu mujarabu. Kuna wana wanajiita Home_used_goods hapo instagram. Wako boko, wao wanashushaga mali toka mbele. Huko utakutana na akina Onkyo, Harman Kardon,Yamaha na brand za ulaya kama Bose. Kwa wanaojua miziki watanisaidia kukupa uhakika wa hizi brands. Combination inakuwa na Amp na tower speakers na subwoofer. Ni setup ya uhakika yani na bei zao zinachezea humo humo kwenye budget yako. Pia niliona recently wana hii Sony BDV-N9200 wao wanaisogeza kwa 1.4M imekuja kama mtumba ila ni Piru.

Kaka ushindwe wewe, pia fanya utafiti madukani kama utakuwa mpinzani wa Sony kisha nunua. Ila kwangu mie brand nyingine naonaga boloka tu. Sijapata kuona kinu cha maana walau Panasonic wanajitahidi.

Mkuu nakushukuru sana nilipotea kidogo ndio nimerudi nasoma sasa maoni ya wadau..
 
Mziki wa fidek hizi spika ndogo za laki 5 ni nzuri sana, kwanza unafanya mziki ndani na nje pia.

Una uhakika wa kukaa na mziki wako kwa miaka hata 10 na zaidi.

Unakuwa na mziki mkubwa saana, kiasi kwamba shughuli yote ya furaha ama msiba utautumia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hebu naomba nione huo mziki wa Fidek kwa picha tafadhali!
 
Yeah i know sasa hizo 65 ni peak pia sio rms...wameenda na ujanja wa radio za gari unakuta wameandika 50w × 4 where real hazizid 22w per channel

Hizo watts sijui 65 unakuta amp inaeza fika hapo kwa sekunde moja tu sio continuous..sisi wasuka amp hizo satelite za theatre ukizipa tu tda2050 moja zinatoa jasho

Afu sio kuweka fidek namaanisha system ndogo ya kawaida hata haichukui space kubwa...kama pichan ina ukubwa gani ni kawaida kabisa ....ukipata na tower speaker pair kila mtu lazima akuulize unatumia nn ndaniView attachment 1395525
Mkuu tupe detail vzr kwa ss ambao hatujui kitu kweny music system kwamba kam unatak mzik mzur labda tafta hik then kile ukiunganisha unapat kitu kizur.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana kwa kutumia sound za madum za mchina.
Kwa budget yako karibu katika ulimwengu wa Sound zilizopimwa mkuu.

Kwa all-in one pack System kibongo bongo nakushauri bila kusita tafta mnyama kazi huyu Sony BDV-N9200 ambaye anamiliki burudani zote ndani kuanzia blu-ray disc playback, 4K Upscalling, bluetooth, Wifi active, Hi-Res audio playback.Kikubwa zaidi ana 1200watts RMS. Kwa bei ya mpya anacheza kwenye 2.2M ila ukienda Shop na mashuka ya Mmasai 2M cash lazma uondoke na mtambo. Hio option ya dukani.

Ila kuna Option ya mtumba pia, huku utapata kinu mujarabu. Kuna wana wanajiita Home_used_goods hapo instagram. Wako boko, wao wanashushaga mali toka mbele. Huko utakutana na akina Onkyo, Harman Kardon,Yamaha na brand za ulaya kama Bose. Kwa wanaojua miziki watanisaidia kukupa uhakika wa hizi brands. Combination inakuwa na Amp na tower speakers na subwoofer. Ni setup ya uhakika yani na bei zao zinachezea humo humo kwenye budget yako. Pia niliona recently wana hii Sony BDV-N9200 wao wanaisogeza kwa 1.4M imekuja kama mtumba ila ni Piru.

Kaka ushindwe wewe, pia fanya utafiti madukani kama utakuwa mpinzani wa Sony kisha nunua. Ila kwangu mie brand nyingine naonaga boloka tu. Sijapata kuona kinu cha maana walau Panasonic wanajitahidi.
Watu na hobi zao uko vizuri mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom