Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 7,081
- 13,054
Mwanaume hufai kucheka hovyo hovyo.
Af mm sio dogo, jambakus ww๐คฃ๐คฃ, ww ndo utakua dogo! Unajeuri huyajui mapenzi mpk upigwe na vitu vizito ndo uje kuheshimu hisia za watu.Anza kuwa jeuri kwenye mapenzi dogo utaenjoy sana, hakuna kima atakutisha wala kukuyumbisha..!! ๐
Umeanza tena utoto ๐Af mm sio dogo, jambakus ww๐คฃ๐คฃ, ww ndo utakua dogo! Unajeuri huyajui mapenzi mpk upigwe na vitu vizito ndo uje kuheshimu hisia za watu.
Sikubaliani na jeuri zako. Period.๐คฃUmeanza tena utoto ๐
Contraceptives wanazoanza kutumia wakiwa wadogo ni tatizo kubwa sana maana wanaconfuse mfumo wao wa uzazi ukiwa baaaado kabisaHili tatizo la uzazi sijui kuna nini kwa mabinti
Eti mwanaume anacheeeka, anacheeeka mpaka anacheeka tena ndo mwanaume gani huyu sasanaona vicheko vimetawala humu ndani,
ngoja nami nicheke๐๐๐๐๐๐
Unaona raha kuwa Kaka wa kucheka cheka...??
โน๏ธContraceptives wanazoanza kutumia wakiwa wadogo ni tatizo kubwa sana maana wanaconfuse mfumo wao wa uzazi ukiwa baaaado kabisa
Sina kauoga shemeji, kwa sasa kuna dawa anakunywa kidonge kimoja 10,000 ila navichukua sehemu wananiuzia 7000 maana ni daily dozi. Imani yangu ipo kwenye miziz nikipata mtaalamu tu najua atakaa sawa. Kuna babu yangu tulimpeleka hospital wakasema hali yake haitibiki tumlee tu mpaka afe lakini sangoma alicheza nae mpaka sasa yupo poa kiasi lakini sio kama alipokuwa anatumia dawa za hospital alikatisha matumaini. so nina imani hakuna kinachoshindikana. Uzuri alikuwa mkweli hakutaka kunijaza ndio maana nahangaika nae, mabinti wengine angeficha na akawa analalamika kwa nini hashiki mimba kumbe anajua chanzo. Kwa sasa ana 32 yrs and i am not abandoning her no matter what, japo kwa sasa ni kama rafiki ila kwa kuwa maisha hayatabiriki you never know what is in the store for you.Wifi huyu jamaa nimempenda ana mapenzi mazito na huyo mwanamke, pamoja na changamoto ya uzazi lakini bado anakomaa naye ila ana kauoga flani..!!
Achukue jiko hilo wote wanapendana hao ๐
Usijenge maana, nimesema baada ya wiki tatu nilipoondoka kule sio tangu nifanye nae mahaba. Umeelewa au wazazi wakadai ada walikokusomesha?Baada ya wiki tatu akasema ana mimba ...๐๐Mkuu ww na yeye pipa na mfuniko Bora muoane tu mchekeshane zaidi
Nimecheka hadi nabubujikwa na machozi mkuu ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Muoe na Mungu atawaajalia uzao inshallah!! ๐Sina kauoga shemeji, kwa sasa kuna dawa anakunywa kidonge kimoja 10,000 ila navichukua sehemu wananiuzia 7000 maana ni daily dozi. Imani yangu ipo kwenye miziz nikipata mtaalamu tu najua atakaa sawa. Kuna babu yangu tulimpeleka hospital wakasema hali yake haitibiki tumlee tu mpaka afe lakini sangoma alicheza nae mpaka sasa yupo poa kiasi lakini sio kama alipokuwa anatumia dawa za hospital alikatisha matumaini. so nina imani hakuna kinachoshindikana. Uzuri alikuwa mkweli hakutaka kunijaza ndio maana nahangaika nae, mabinti wengine angeficha na akawa analalamika kwa nini hashiki mimba kumbe anajua chanzo. Kwa sasa ana 32 yrs and i am not abandoning her no matter what, japo kwa sasa ni kama rafiki ila kwa kuwa maisha hayatabiriki you never know what is in the store for you.
Aaah aah aaah aah aah!!!Duh, labda alikuota unamchapa nao.