The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,498
- 17,417
Watu wengi wamekua wakijiuliza kwa nini siku hizi night clubs zinakufa sana, mfano Maison na nyinginezo hapa Tanzania.
Ukweli ni kwamba night Clubs Dunia nzima zinakufa kwa sababu kizazi Z ambao ndio walipaswa kua wanaruka majoka usiku kucha hakipendi kwenda night Clubs.
Sababu nyingine ni kwamba kipindi hiki bar ama migahawa mingi ya mtaani inatoa burudani ya muziki usiku kucha huku bei ya vinywaji ikiwa ni ile ile, so mtu anaburudika hadi asubuhi kwa bei ndogo tofauti na kwenda clubs. Migahawa na bars nyingi za mtaani wameajiri professional DJs wale waliokua wanapiga ngoma clubs na kununua vifaa vya kisasa vya muziki ambavyo havikua vinapatikana huko nyuma.
Watu wengi wanasema waliacha kwenda clubs kwa sababu ya clubs kuingiza utamaduni wa meza, kununua meza na pia bei ghali ya vinjwaji kuliko uhalisia.
Zaidi ni kwamba ujio wa mitandao ya kijamii imevuruga zaidi hasa kwa kizazi Z wakitumia muda mwingi zaidi kwenye mitandao ya kijamii kuliko kukutana clubs.
Ukweli ni kwamba night Clubs Dunia nzima zinakufa kwa sababu kizazi Z ambao ndio walipaswa kua wanaruka majoka usiku kucha hakipendi kwenda night Clubs.
Sababu nyingine ni kwamba kipindi hiki bar ama migahawa mingi ya mtaani inatoa burudani ya muziki usiku kucha huku bei ya vinywaji ikiwa ni ile ile, so mtu anaburudika hadi asubuhi kwa bei ndogo tofauti na kwenda clubs. Migahawa na bars nyingi za mtaani wameajiri professional DJs wale waliokua wanapiga ngoma clubs na kununua vifaa vya kisasa vya muziki ambavyo havikua vinapatikana huko nyuma.
Watu wengi wanasema waliacha kwenda clubs kwa sababu ya clubs kuingiza utamaduni wa meza, kununua meza na pia bei ghali ya vinjwaji kuliko uhalisia.
Zaidi ni kwamba ujio wa mitandao ya kijamii imevuruga zaidi hasa kwa kizazi Z wakitumia muda mwingi zaidi kwenye mitandao ya kijamii kuliko kukutana clubs.
The death of the nightclub: what Britain will lose when the dancing stops
More than a third of Britain’s nightclubs have closed since June 2020. Yet they boost mental health and artistic innovation - and bring in billions for the economy
www.theguardian.com