Night Clubs kufa sio kwa Tanzania tu, Dunia nzima night club culture inakufa kwa sababu kizazi Z hakipendi Clubs

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,498
17,417
Watu wengi wamekua wakijiuliza kwa nini siku hizi night clubs zinakufa sana, mfano Maison na nyinginezo hapa Tanzania.

Ukweli ni kwamba night Clubs Dunia nzima zinakufa kwa sababu kizazi Z ambao ndio walipaswa kua wanaruka majoka usiku kucha hakipendi kwenda night Clubs.

Sababu nyingine ni kwamba kipindi hiki bar ama migahawa mingi ya mtaani inatoa burudani ya muziki usiku kucha huku bei ya vinywaji ikiwa ni ile ile, so mtu anaburudika hadi asubuhi kwa bei ndogo tofauti na kwenda clubs. Migahawa na bars nyingi za mtaani wameajiri professional DJs wale waliokua wanapiga ngoma clubs na kununua vifaa vya kisasa vya muziki ambavyo havikua vinapatikana huko nyuma.

Watu wengi wanasema waliacha kwenda clubs kwa sababu ya clubs kuingiza utamaduni wa meza, kununua meza na pia bei ghali ya vinjwaji kuliko uhalisia.

Zaidi ni kwamba ujio wa mitandao ya kijamii imevuruga zaidi hasa kwa kizazi Z wakitumia muda mwingi zaidi kwenye mitandao ya kijamii kuliko kukutana clubs.

 
Watu wengi wamekua wakijiuliza kwa nini siku hizi night clubs zinakufa sana, mfano Maison na nyinginezo hapa Tanzania.

Ukweli ni kwamba night Clubs Dunia nzima zinakufa kwa sababu kizazi Z ambao ndio walipaswa kua wanaruka majoka usiku kucha hakipendi kwenda night Clubs.

Sababu nyingine ni kwamba kipindi hiki bar ama migahawa mingi ya mtaani inatoa burudani ya muziki usiku kucha huku bei ya vinywaji ikiwa ni ile ile, so mtu anaburudika hadi asubuhi kwa bei ndogo tofauti na kwenda clubs. Migahawa na bars nyingi za mtaani wameajiri professional DJs wale waliokua wanapiga ngoma clubs na kununua vifaa vya kisasa vya muziki ambavyo havikua vinapatikana huko nyuma.

Watu wengi wanasema waliacha kwenda clubs kwa sababu ya clubs kuingiza utamaduni wa meza, kununua meza na pia bei ghali ya vinjwaji kuliko uhalisia.

Zaidi ni kwamba ujio wa mitandao ya kijamii imevuruga zaidi hasa kwa kizazi Z wakitumia muda mwingi zaidi kwenye mitandao ya kijamii kuliko kukutana clubs.

Mleta mada! Pembeni mwa sikio lako ni nini? Unazingua ujue?
 
Open bar ndio mpango mzima, kwanza clubs hewa yenyewe nzito hata AC zikiwashwa hasa kama watu ni wengi.
Hata kiusalama clubs sio, yaani mnafungiwa sehemu moja halafu exit ndogo, ikitokea ajali ya moto n.k its too dangerous.

Ndio maana sisi wazee tunaenda zetu live band.
 
Sema clubs, ilikuwa poa sana those days. Umri unakimbia kweli, sasa hivi lounge watu wanajaa mpaka pa kusimama unakosa.
 
Nini ambacho kipo night clubs hawawezi kipata kitaaa, watu siku hizi hawana aibuu mcha kweupeee jambo lishaeleweka, ...ya Nini kukimbizana usiku wa manane
 
Back
Top Bottom