IDDY S MHANDO
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,792
- 12,580
Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!
Kwakweli kipindi naandika huo Uzi nilikuwa kwenye msongo mkali sana wa mawazo...! Kwasasa akili yangu imetulia...!
Miaka 3 ilivyo pita nilikuwa natafuta fursa za kazi nchi za nje...kwa bahati nzuri mwaka huu Nika bahatika kupata safari kwenye falme za kiarabu huku Dubai kwa hivi sasa nipo Dubai napambana Uzi wangu huu ni rejea nzuri 🤣🤣🤣🤣
Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu
Huku Dubai Kuna fursa za bidhaa nyingi ambazo bei zake ni za Hali ya chini sana...hivyo kama Kuna wafanya biashara/mfanyabiashara anahitaji bidhaa yoyote kutoka Dubai Nina weza Nika kusaidia kwa niaba Yako nikakununulia bidhaa unayo itaka na kukutumia ndani ya muda mchache.
Kwa bidhaa chache ndani ya masaa 72 unakuwa umepata mzigo wako...!
Hivyo hakuna aja ya wewe kufunga safari kuja huku...nipo nitafanya hivyo kwaajili Yako...!
Mnao hitaji simu, perfume za aina zote, computer, vifaa vya magari, vifaa vya umeme niagize nitakutumia mzigo wako ndani ya muda mchache kwa uaminifu wa Hali ya juu...!
Kwa mawasiliano mnaweza kunipata kwa namba zangu za Whatsapp +971581480619...!
Au kama unacho kifurushi Cha international call unaweza kunipata kwa namba hizo hizo +971581480619...!
Kuna bidhaa mbali mbali ambazo nitakuwa naziweka humu na bei hizi kwa kwa ndugu zangu wa jamiiforums tu. Nafanya hivyo kuweka bei za chini kama shukrani zangu kwa ndugu zangu kwa mchango wenu ambao tumekuwa tukipeana.
Kwakweli kipindi naandika huo Uzi nilikuwa kwenye msongo mkali sana wa mawazo...! Kwasasa akili yangu imetulia...!
Miaka 3 ilivyo pita nilikuwa natafuta fursa za kazi nchi za nje...kwa bahati nzuri mwaka huu Nika bahatika kupata safari kwenye falme za kiarabu huku Dubai kwa hivi sasa nipo Dubai napambana Uzi wangu huu ni rejea nzuri 🤣🤣🤣🤣
Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu
Huku Dubai Kuna fursa za bidhaa nyingi ambazo bei zake ni za Hali ya chini sana...hivyo kama Kuna wafanya biashara/mfanyabiashara anahitaji bidhaa yoyote kutoka Dubai Nina weza Nika kusaidia kwa niaba Yako nikakununulia bidhaa unayo itaka na kukutumia ndani ya muda mchache.
Kwa bidhaa chache ndani ya masaa 72 unakuwa umepata mzigo wako...!
Hivyo hakuna aja ya wewe kufunga safari kuja huku...nipo nitafanya hivyo kwaajili Yako...!
Mnao hitaji simu, perfume za aina zote, computer, vifaa vya magari, vifaa vya umeme niagize nitakutumia mzigo wako ndani ya muda mchache kwa uaminifu wa Hali ya juu...!
Kwa mawasiliano mnaweza kunipata kwa namba zangu za Whatsapp +971581480619...!
Au kama unacho kifurushi Cha international call unaweza kunipata kwa namba hizo hizo +971581480619...!
Kuna bidhaa mbali mbali ambazo nitakuwa naziweka humu na bei hizi kwa kwa ndugu zangu wa jamiiforums tu. Nafanya hivyo kuweka bei za chini kama shukrani zangu kwa ndugu zangu kwa mchango wenu ambao tumekuwa tukipeana.
Hiyo laptop utanipata kwa 380,000/= navunja bei...huu mzigo ni used iliyo tumiwa na watu walio staarabika...!
hard-disk Gb 500 nitakuuzia kwa bei jumla kuanzia PC 50 kwa shilingi 19,000/= tu PC 1 ni shilingi 25,000/=
Pia Kuna simu za aina mbali mbali ambazo nitajitahidi kuvunja bei...ili Kila mwana jamiiforums asikosekane hewani...!
Usiache kuniagiza...nitumie chochote hata ukitaka gari sema🤣🤣🤣🤣
Zipo RAM za ukubwa mbali mbali
Njoo uvunje bei tufanye biashara...
wafanya biashara mliopo dar es salaam nawakaribisha sana tufanye biashara Haina haja ya wewe kuja Dubai...Mimi nipo huku kwaajili Yako.
njoo na offa ya 100,000/= nikupe kifaa hicho Cha kijanja...kabisa kina speed kubwa ya internet...unaunganisha Hadi watumiaji 10 na zaidi kwa speed kubwa...! Inatumia laini ya mtandao wowote...!Pia Kuna simu za aina mbali mbali ambazo nitajitahidi kuvunja bei...ili Kila mwana jamiiforums asikosekane hewani...!
Usiache kuniagiza...nitumie chochote hata ukitaka gari sema🤣🤣🤣🤣
Zipo RAM za ukubwa mbali mbali
Njoo uvunje bei tufanye biashara...
wafanya biashara mliopo dar es salaam nawakaribisha sana tufanye biashara Haina haja ya wewe kuja Dubai...Mimi nipo huku kwaajili Yako.
Ukihitaji order kuanzia 20 bei itashuka zaidi...!
Haina aja ya kufanya simu Yako iishiwe na charge kwa kuiwasha hotspot nakuletea hotspot ya kijanja...kwa elfu 70 inatumia laini zote...Ina kaa na charge muda mrefu na Ina Kasi ya mbs 100
njoo tuzungumze kuhusu biashara usiwaze kuja Dubai Mimi nipo huku kwaajili Yako +971581480619
njoo tuzungumze kuhusu biashara usiwaze kuja Dubai Mimi nipo huku kwaajili Yako +971581480619