Dubai kujenga uwanja wa ndege kwa bilioni 91, ni nusu ya bajeti yetu tuliyoshindwa kuitekeleza

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,508
8,128
Kweli vidole havifanani, Dubai jana imetangaza ujenzi wa uwanja mpya wa ndege wenye thamani ya Tshs trilioni 91 kusini mwa mji ambao utaambatana na ujenzi wa mji mpya(wilaya) ambao umeshaanza kujengwa wenye kilomita za mraba 145.

Gharama hizi za ujenzi ni zaidi ya mara mbili ya bajeti ya Tanzania ya mwaka jana Inayoishia June mwaka huu huku tukiwa na rekodi ya kushindwa kutimiza bajeti tunazoandaa wenyewe mara kwa mara kutokana na ukusanyaji duni wa mapato na pesa za wafadhili.

"Tunajenga mradi mpya kwa ajili ya vizazi vijavyo kuhakikisha maendeleo imara kwa ajili ya watoto wetu na watoto wao. Dubai itakuwa uwanja wa ndege wa dunia, bandari yake, mji na kituo kipya cha dunia" Amesema Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, mfalme wa Dubai.

Uwanja wa ndege Dubai.png

Uwanja wa ndege wa sasa wa Dubai ambapo uwanja mpya utakuwa mara tano yako​
 
Haya yangekuwa mauzo ya dhahabu na almasi kwa wiki tu, tukawapa wengine sisi tunabaki na mashimo..
Hakunq aliyezuia ikiwa serikali inao mgodi inaouendesha kupitia stamico Stamigold. Mgodi ambao zamani uliitwa Tulawaka chini ya Barrick. Kama hakuna nia njema hata upewe hivyo visima utafirisika tu.
 
Huku kwetu CCM na genge lake wanawaza kuiba rasilimali za nchi na kuficha pesa nje ya nchi.
 
Acha uongo, hakuna uwanja wa ndege wenye hio thamani, bali hio ni investment ya kila kitu kwenye huo mradi, uta involve vitu ving sana
 
Kweli vidole havifanani, Dubai jana imetangaza ujenzi wa uwanja mpya wa ndege wenye thamani ya Tshs trilioni 91 kusini mwa mji ambao utaambatana na ujenzi wa mji mpya(wilaya) ambao umeshaanza kujengwa wenye kilomita za mraba 145.

Gharama hizi za ujenzi ni zaidi ya mara mbili ya bajeti ya Tanzania ya mwaka jana Inayoishia June mwaka huu huku tukiwa na rekodi ya kushindwa kutimiza bajeti tunazoandaa wenyewe mara kwa mara kutokana na ukusanyaji duni wa mapato na pesa za wafadhili.

"Tunajenga mradi mpya kwa ajili ya vizazi vijavyo kuhakikisha maendeleo imara kwa ajili ya watoto wetu na watoto wao. Dubai itakuwa uwanja wa ndege wa dunia, bandari yake, mji na kituo kipya cha dunia" Amesema Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, mfalme wa Dubai.

View attachment 2978066
Uwanja wa ndege wa sasa wa Dubai ambapo uwanja mpya utakuwa mara tano yako​
Hawa waarabu wa Dubai ni wanaume. 2009 uchumi wao ulidorora vibaya sana lakini wa kabounce back. Huo uwanja ilibidi uanze kujengwa kabla ya 2009 ila uchumi wa duniani ulitetereka ukastopishwa. Lakini wanaume wakajipanga upya.

Sisi tuendelee tu kujisifia kula, kunya nakutomba.
 
Hawa waarabu wa Dubai ni wanaume. 2009 uchumi wao ulidorora vibaya sana lakini wa kabounce back. Huo uwanja ilibidi uanze kujengwa kabla ya 2009 ila uchumi wa duniani ulitetereka ukastopishwa. Lakini wanaume wakajipanga upya.

Sisi tuendelee tu kujisifia kula, kunya nakutomba.
We jamaa hiyo kutromber hata wadudu wanatromber, ni beer pekee ndo tunachowazidi.
 
Kweli vidole havifanani, Dubai jana imetangaza ujenzi wa uwanja mpya wa ndege wenye thamani ya Tshs trilioni 91 kusini mwa mji ambao utaambatana na ujenzi wa mji mpya(wilaya) ambao umeshaanza kujengwa wenye kilomita za mraba 145.

Gharama hizi za ujenzi ni zaidi ya mara mbili ya bajeti ya Tanzania ya mwaka jana Inayoishia June mwaka huu huku tukiwa na rekodi ya kushindwa kutimiza bajeti tunazoandaa wenyewe mara kwa mara kutokana na ukusanyaji duni wa mapato na pesa za wafadhili.

"Tunajenga mradi mpya kwa ajili ya vizazi vijavyo kuhakikisha maendeleo imara kwa ajili ya watoto wetu na watoto wao. Dubai itakuwa uwanja wa ndege wa dunia, bandari yake, mji na kituo kipya cha dunia" Amesema Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, mfalme wa Dubai.

View attachment 2978066
Uwanja wa ndege wa sasa wa Dubai ambapo uwanja mpya utakuwa mara tano yako​
Sijui shida ni miswaki yangu ya hesabu tangu kindergarten hadi form 2C nilipotundika daluga au nini, ila sijaielewa kabisa calculation yako ya fedha hizo shilingi vs dollar.

Heading inasema $ 91B, halafu content inasema Tshs 91T. Au ndo kusema dola imeshaporomoka kwa speed ya mwanga na kufikia exchange rate ya 1$=1,000Tshs ndani ya siku chache tu?

Kwa ninavyofahamu hiyo $91 kwa hesabu ya chap tu ni Tshs 200T+, ambayo ni zaidi ya mara nne (kama si 5 kabisa) ya bajeti yetu ya mwaka unaoisha June.
 
Back
Top Bottom