Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 942
- 4,433
Tumeona teuzi za jana na leo zimefanyika kutokea Doha Qatar. Je ni jambo sahihi viongozi wa Afrika kwenda kufanyauteuzi nje ya mataifa yao ikiwa hali ya usalama na kisiasa ni tulivu?
Historia inayoonyesha kuna viongozi wengine wamewahi kuwa na huu utaratibu?
---
- Rais Samia ateua Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria
Historia inayoonyesha kuna viongozi wengine wamewahi kuwa na huu utaratibu?
---
- Rais Samia ateua Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria