Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 2,015
- 3,925
- Unamsikia mtu anasema "Yaani mimi ikipita siku sijapata walau savanna moja mwili unakuwa mzito HADI nipate japo kidogo moja aisee ndo nakuwa sawa".
- Au mwingine unamsikia akisema "Yaani mimi ipite siku sijakunywa chai au japo kikombe kimoja cha kahawa naona kama siku yangu BADO haijakamilika. Lazima nipate japo kakikombe kamoja mwili ukae sawa".
- Au SIWEZI kupitisha siku bila kunywa soda fulani au kinywaji fulani.
Kuna watu hayo ndio maisha yao ya kawaida ya kila siku. Yaani wamejitungia kanuni mimi naita ni za kishamba kama sio kijinga kabisa za kutegemeza maisha yao kwenye vitu, ni dalili ya mtu aliyeshindwa kuutawala mwili wake na badala yake karuhusu mwili kumtawala.
Kibaya zaidi vitu vyenyewe ivyo havikuongezei kitu cha maana mwilini zaidi ya kuuharibu na kuuchoka tu mwili kwa vitu visivyo na maana.
- Au mwingine unamsikia akisema "Yaani mimi ipite siku sijakunywa chai au japo kikombe kimoja cha kahawa naona kama siku yangu BADO haijakamilika. Lazima nipate japo kakikombe kamoja mwili ukae sawa".
- Au SIWEZI kupitisha siku bila kunywa soda fulani au kinywaji fulani.
Kuna watu hayo ndio maisha yao ya kawaida ya kila siku. Yaani wamejitungia kanuni mimi naita ni za kishamba kama sio kijinga kabisa za kutegemeza maisha yao kwenye vitu, ni dalili ya mtu aliyeshindwa kuutawala mwili wake na badala yake karuhusu mwili kumtawala.
Kibaya zaidi vitu vyenyewe ivyo havikuongezei kitu cha maana mwilini zaidi ya kuuharibu na kuuchoka tu mwili kwa vitu visivyo na maana.