Ni ubinafsi au unafki, Waarabu wanaosifiwa kuogelea kwenye pesa ni kwanini wanajibana kutoa misaada kwa ndugu zao wapalestina huko Gaza ?

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,118
Inashangaza kuona Saudi Arabia inayosifika kuwa nchi tajiri ya kiarabu kuona kiasi pekee walichochangia ni dola milioni 133 tu kuisaidia Gaza.

Saudi Arabia imebarikiwa mafuta, visima vingi vinamilikiwa na wanafamilia wa kifalme na ndugu zao (royal family), huonyesha ufahari wao kwa kutumia pesa za visima vyao kununua lundo la magari ya kifahari, kununua visiwa, kununua wachezaji wa ulaya kwa mamia ya mabilioni, n.k.

wakati huo Saudia imewasaidia ndugu zao huko Gaza dola milioni 133, Seneti ya Marekani imeisadia Gaza dola bilioni 9 , na sijui kwanini huu msaada huwa unafichwa unatajwa tu msaada wa dola bilioni 14 waliopewa Israel.

Msaada wa dola milioni 133 bado ni mdogo sana hasa ukizingatia waarabu wa Gaza ni kama ndugu zao, tunaona waarabu wakiiongelea sana Gaza kwenye mitandao ya kijamii lakini kwanini hawatoi misaada ?

1709903969171.png
 
Saudi Arabia kunakosifika kuwa na matajiri wanaoongoza kulipa mishahara ya wachezaji mpira, kununua gari za mabilioni, n.k. kiasi walichochangia ni dola milioni 133 tu kuisaidia Gaza

wakati huo seneti ya Marekani illipitisha dola bilioni 9 kuisaidia Gaza, na sijui kwanini huu msaada huwa unafichwa unatajwa tu msaada wa dola bilioni 14 wa Israel.

Msaada wa dola milioni 133 bado ni mdogo sana hasa ukizingatia waarabu wa Gaza ni kama ndugu zao, tunaona waarabu wakiiongelea sana Gaza kwenye mitandao ya kijamii lakini kwanini hawatoi misaada ?

View attachment 2928329
Mkuu shida ipo kwene dini waliyonayo!!
Mungu Baali
Kwao ni rahisi kufund mamilion kwene ugaidi na chuki ila si kuokoa uhai
Kwao ni rahisi kutoa hela kusambaza Dini (syo mungu dini) ila sio kusaidia binadamu

Value walizonazo waarabu ni tofauti sana

CHANGU CHANGU
 
Baada ya kupewa za uso huko kwenye uzi wako wa kipumbavu umekuja huku ili ujifariji sio?

Kwa hiyo kama hawasaidii inaondoa ukweli ya kuwa wao ni matajiri kama dai kwenye huo uzi wako?
Au kutaondoa ukweli kuwa Israel ana ishi kwa misaada kama Tz?

Mbona hujaja hapa kuhoji ni kwann
hiyo Marekani yako inatoa misaada ya mabilion ya $ duniani kote hali ya kuwa ndani ya nchi yake kuna mamilioni ya raia wake ni masikini na wasio kuwa pakulala na wanakufa na baridi na njaa?
Kwann hizo fedha anazo tumia kujifanya ana anasaidia watu wengine kwann asi zitumie kuboresha maisha ya raia wake kwanza?

Ww hujui ya kuwa misaada ni moja wapo ya sera ya mambo ya nje ya USA na chombo cha propaganda anacho tumia kupenyeza ajenda zake chafu hapa ulimwenguni na kulinda ushawishi wake na ndio maana wapo tiyari hata raia wao wafe na baridi kwa kukosa makazi ila misaada kwenye nchi mbali mbali isikosekane?

Ww hujiulizi ni kwann anawapa misaada ya chakula wapalestina alafu anazunguka nyuma anaipa Israel silaha kwenda kuwauwa hao wapalestina anao jifanya anawahurumia, umesha jiuliza hilo?

Alafu hujui kuwa misaada kwa wapalestina ni sawa na kuipunguzia mzigo Israel maana wapalestina wanatawaliwa na Israel hivyo ndo ina jukumu la kuhakikisha wapalestina wana pata mahitaji muhimu kama binadamu maana wao ndo wanawatawala.

Alafu aliye kwambia kuwa hitaji kubwa la wapalestina ni misaada ya chakula na dawa ni nani?
Hitaji kubwa la wapalestina ni kupata taifa lao ili waweze kujitawaka na kujisaidia wenyewe.
Mataifa ya kiarabu yanatoa pesa nyingi kila mwaka kwa ajili wapalestina kupitia kwenye mashirika ya umoja wa mataifa hivyo madai yako sio kweli.
 
Mkuu shida ipo kwene dini waliyonayo!!
Mungu Baali
Kwao ni rahisi kufund mamilion kwene ugaidi na chuki ila si kuokoa uhai
Kwao ni rahisi kutoa hela kusambaza Dini (syo mungu dini) ila sio kusaidia

Value walizonazo waarabu ni tofauti sana

CHANGU CHANGU
Hivi kuna unafiki zaidi ya kujifanya una wapa msaada wa chakula wapalestina watu fulani alafu unazunguka nyuma unawapa watu wengine silaha ili waje wawa uwe ?hata hivyo ww unajulika sio riziki sasa lini mtu anaye pumuliwa kisogoni akawa na akili?
 
Saudi Arabia kunakosifika kuwa na matajiri wanaoongoza kulipa mishahara ya wachezaji mpira, kununua gari za mabilioni, n.k. kiasi walichochangia ni dola milioni 133 tu kuisaidia Gaza

wakati huo seneti ya Marekani illipitisha dola bilioni 9 kuisaidia Gaza, na sijui kwanini huu msaada huwa unafichwa unatajwa tu msaada wa dola bilioni 14 wa Israel.

Msaada wa dola milioni 133 bado ni mdogo sana hasa ukizingatia waarabu wa Gaza ni kama ndugu zao, tunaona waarabu wakiiongelea sana Gaza kwenye mitandao ya kijamii lakini kwanini hawatoi misaada ?

View attachment 2928329
Wasaudia si watoaji misaada sana mkuu ndo maana hata kwenye top Philanthropists in the world matajiri wa kisaudia utawatafuta kwa tochi. Ila nchi kama US ina philantropist wa kufa mtu mkuu na US anasadia sana hebu fikiri kwa sasa US anajenga bandari ili kuwasaidia wapalestina wapate misaada fikiri US anajihangaisha kiasi hicho na ndugu za wapalestina tena katika imani wapo!!!!
 
Mkuu shida ipo kwene dini waliyonayo!!
Mungu Baali
Kwao ni rahisi kufund mamilion kwene ugaidi na chuki ila si kuokoa uhai
Kwao ni rahisi kutoa hela kusambaza Dini (syo mungu dini) ila sio kusaidia binadamu

Value walizonazo waarabu ni tofauti sana

CHANGU CHANGU
Si unaona Iran anafund magaid ya hamas but misaada kwa wapalestina ya kumulika kwa tochi
 
Baada ya kupewa za uso huko kwenye uzi wako wa kipumbavu umekuja huku ili ujifariji sio?

Kwa hiyo kama hawasaidii inaondoa ukweli ya kuwa wao ni matajiri kama dai kwenye huo uzi wako?
Au kutaondoa ukweli kuwa Israel ana ishi kwa misaada kama Tz?

Mbona hujaja hapa kuhoji ni kwann
hiyo Marekani yako inatoa misaada ya mabilion ya $ duniani kote hali ya kuwa ndani ya nchi yake kuna mamilioni ya raia wake ni masikini na wasio kuwa pakulala na wanakufa na baridi na njaa?
Kwann hizo fedha anazo tumia kujifanya ana anasaidia watu wengine kwann asi zitumie kuboresha maisha ya raia wake kwanza?

Ww hujui ya kuwa misaada ni moja wapo ya sera ya mambo ya nje ya USA na chombo cha propaganda anacho tumia kupenyeza ajenda zake chafu hapa ulimwenguni na kulinda ushawishi wake na ndio maana wapo tiyari hata raia wao wafe na baridi kwa kukosa makazi ila misaada kwenye nchi mbali mbali isikosekane?

Ww hujiulizi ni kwann anawapa misaada ya chakula wapalestina alafu anazunguka nyuma anaipa Israel silaha kwenda kuwauwa hao wapalestina anao jifanya anawahurumia, umesha jiuliza hilo?

Alafu hujui kuwa misaada kwa wapalestina ni sawa na kuipunguzia mzigo Israel maana wapalestina wanatawaliwa na Israel hivyo ndo ina jukumu la kuhakikisha wapalestina wana pata mahitaji muhimu kama binadamu maana wao ndo wanawatawala.

Alafu aliye kwambia kuwa hitaji kubwa la wapalestina ni misaada ya chakula na dawa ni nani?
Hitaji kubwa la wapalestina ni kupata taifa lao ili waweze kujitawaka na kujisaidia wenyewe.
Mataifa ya kiarabu yanatoa pesa nyingi kila mwaka kwa ajili wapalestina kupitia kwenye mashirika ya umoja wa mataifa hivyo madai yako sio kweli.

Mbona gazeti refu out of context

Jibu swali tu ni kwanini waarabu hawajitoi kuwasaidia ndugu zao Gaza wanaowapigia kelele lwenye mitandao ya kijamii, kelele zote hizi yani mtu anaweza kudhani wasaudia wamepelekea walau mzigo wa dola bilioni 5 kumbe ni milioni 133.

halafu kwanini viongozi wa Hamas wamekimbia Gaza wanaishi nchi nyingine kifahari ?
 
Mbona gazeti refu out of context

Jibu swali tu ni kwanini waarabu hawana hawajitoi kuwasaidia wenzao wa Gaza wanaowapigia kelele lwenye mitandao ya kijamii, kelele zote hizi yani nilidhani at least wasaudia wamepelekea walau mzigo wa dola bilioni 5,

halafu kwanini viongozi wa Hamas wamekimbia Gaza wanaishi nchi nyingine kifahari ?
Huna akili ebu nenda katafute orodha ya nch zinazo toa misaada kwa wapalestina tuone kama kweli nchi za Kiarabu hazipo.
Saudia Arabia anatoa zaidi ya $500 kila mwaka kwa ajili ya wapalestina.
Qtaar inatoa zaidi ya $300 kwa ajili ya wapalestina na yeye ndo alikuwa ana walipa wafanya kazi wote ndani ya gaza kabla ya vita, majengo na miundo mbinu mingi yaliyoko ndani ya gaza ,kuanzia hospital ,shule, mabarabara ,makazi yamejengwa na kwa msaada na fedha kutoka nchi za Kiarabu.

Ata sasa baada ya vita nchi za Kiarabu ndo zitawajibika kwa kiasi kikubwa kuijenga gaza.
Nchi karibia zote za Kiarabu zinatoa misaada kutokana na uwezo wa chumi zao.
Sasa ni waarabu gani unao sema eti hawawasaidii wapalestina?

Hilo swali lako ulilo niuliza eti kwann viongozi wa Hamas hawaishi gaza ni la kijinga na linakuonesha jinsi ulivyo kilaza na hujui chochote zaidi ya ushabiki na chuki.

Hamas ni chama cha ukombozi ambacho kimegawanyika kwenye matawi mawili( 2 )
Tawi la kwanza ni la kijeshi ambalo mpaka sasa lipo linapambana na Israel ndani ya gaza na viongozi wake wote wako ndani ya gaza wana pambana.

Tawi la 2 ni tawi la kisiasa hili tawi jukumu lake kubwa ni kusimamia masilahi ya kisiasa,kimkakati na kiuchumi ya Hamas, Hamas ina miliki biashara zenye thamani ya 5 $bilion kote duniani hivyo ukiona kiongozi wa Hamas yuko ndani ya nchi fulani jua yupo hapo kwa ajili kusimamia masilahi ya hamas ndani ya nchi hiyo.
Biashara nyingi za Hamas ziko ndani ya Lebanon, Syria, Uturuki,Qtaar,na UAE na ndio maana viongozi wengi wa Hamas wanaishi ndani ya nchi hizo na sio wameenda kutalii.

Sasa hivi watoto wa Netanyau wako Marekani wakila bata na malaya wakati watoto wa waisrael wengine wanafia gaza.
 
Hamas wamelimwaga wacha walinywe... ungese wa Hamas wanasema wao wanajilinda wenyewe na raia ni jukumu la United Nations
 
Inashangaza kuona Saudi Arabia inayosifika kuwa nchi tajiri ya kiarabu kuona kiasi pekee walichochangia ni dola milioni 133 tu kuisaidia Gaza.

Saudi Arabia imebarikiwa mafuta, visima vingi vinamilikiwa na wanafamilia wa kifalme na ndugu zao (royal family), nikawaida kukuta mwanafamilia wa kifalme anatumia pesa za mafuta kununua magari mia ya kifahari, ni kawaida kukuta mwanafamilia wa kifalme anatumia pesa za mafuta kununua kisiwa, n.k.

wakati huo seneti ya Marekani illipitisha dola bilioni 9 kuisaidia Gaza, na sijui kwanini huu msaada huwa unafichwa unatajwa tu msaada wa dola bilioni 14 wa Israel.

Msaada wa dola milioni 133 bado ni mdogo sana hasa ukizingatia waarabu wa Gaza ni kama ndugu zao, tunaona waarabu wakiiongelea sana Gaza kwenye mitandao ya kijamii lakini kwanini hawatoi misaada ?

View attachment 2928329
Hao waliochangia ni raia binafsi.

Serikali ya Saudi Arabia inawasaidia mazayuni.

Nchi za Kiarabu zilizojitolea kwa hali na mali, kuhusu suala la Wapalestina, mpaka sasa ni Yemen, Syria na Lebanon tu.
 
Msaada utangazwe🤣🤣uislamu hauna riah ni dhambi kubwa sana...Kuna jamaa hapo Gaza pekeake katoa karibia $10 mil ila jina lake limefichwa
 
Kuna mstari mwembamba sana Kati ya mwarabu na mwafrika(mtu nyeusi)
Wewe unamfananisha mwarabu na mtu mweusi? Mwarabu ana roho mbaya, anataka aonyeshe ufahari. Hivi mnasoma vitabu vya hadithi za kale kuhusu masultani, watwana, majini na watu watajiri wenye kunyenyekewa na watwana hamjui ni utamaduni wa waarabu?
 
Wewe unamfananisha mwarabu na mtu mweusi? Mwarabu ana roho mbaya, anataka aonyeshe ufahari. Hivi mnasoma vitabu vya hadithi za kale kuhusu masultani, watwana, majini na watu watajiri wenye kunyenyekewa na watwana hamjui ni utamaduni wa waarabu?

Tayari, kumekucha

Chuki, hasadi, roho mbaya, wivu n.k, ni maradhi mabaya sana, na hayatibiki hospital.

Allah aniepushie mbali maradhi haya n.k
 
Back
Top Bottom