Ni sahihi mke na mme au wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi?

Nyamesocho

JF-Expert Member
May 5, 2023
489
1,270
Kuna baadhi ya wanandoa na wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi tena matusi mengine ni ya ajabu sana

Na wanawake wanapenda sana kutumia matusi kwa wenza wao Kama matani
Mifano ni mingi,mfano ikiwa mwanamke anataka kufahamu mumewe alipo atampigia simu au sms "Weee bwege uko wapi?
Wewe kenge njoo ule

Halafu wewe nyoko acha ubishi basi!
Wewe mwanaume wa michepuko Sasa hivi upo kwa nani coz sikuoni home "

Wanaume nao hukubali kujibizana kwa njia hiyo hiyo ya matusi mpaka ya nguoni
Je ni sahihi kutaniana kwa njia ya matusi?
Binafsi ni big nooooooo!!!!
 
images - 2024-03-10T190459.157.jpeg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Kuna baadhi ya wanandoa na wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi tena matusi mengine ni ya ajabu sana

Na wanawake wanapenda sana kutumia matusi kwa wenza wao Kama matani
Mifano ni mingi,mfano ikiwa mwanamke anataka kufahamu mumewe alipo atampigia simu au sms "Weee bwege uko wapi?
Wewe kenge njoo ule

Halafu wewe nyoko acha ubishi basi!
Wewe mwanaume wa michepuko Sasa hivi upo kwa nani coz sikuoni home "

Wanaume nao hukubali kujibizana kwa njia hiyo hiyo ya matusi mpaka ya nguoni
Je ni sahihi kutaniana kwa njia ya matusi?
Binafsi ni big nooooooo!!!!
mchumba your in puts zinahitajika hapa
 
Kuna baadhi ya wanandoa na wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi tena matusi mengine ni ya ajabu sana

Na wanawake wanapenda sana kutumia matusi kwa wenza wao Kama matani
Mifano ni mingi,mfano ikiwa mwanamke anataka kufahamu mumewe alipo atampigia simu au sms "Weee bwege uko wapi?
Wewe kenge njoo ule

Halafu wewe nyoko acha ubishi basi!
Wewe mwanaume wa michepuko Sasa hivi upo kwa nani coz sikuoni home "

Wanaume nao hukubali kujibizana kwa njia hiyo hiyo ya matusi mpaka ya nguoni
Je ni sahihi kutaniana kwa njia ya matusi?
Binafsi ni big nooooooo!!!!
Kuna matusi na matusi.
Matusi ya nguoni km qumamaqe hapana haifai.
Ila kama kuitana majina ya wanyama au vitu kama wee bata,we kuku jike au we sufuria,au we wowowo ni sawa na ni fresh tena raha sana.
 
Back
Top Bottom