Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 489
- 1,270
Kuna baadhi ya wanandoa na wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi tena matusi mengine ni ya ajabu sana
Na wanawake wanapenda sana kutumia matusi kwa wenza wao Kama matani
Mifano ni mingi,mfano ikiwa mwanamke anataka kufahamu mumewe alipo atampigia simu au sms "Weee bwege uko wapi?
Wewe kenge njoo ule
Halafu wewe nyoko acha ubishi basi!
Wewe mwanaume wa michepuko Sasa hivi upo kwa nani coz sikuoni home "
Wanaume nao hukubali kujibizana kwa njia hiyo hiyo ya matusi mpaka ya nguoni
Je ni sahihi kutaniana kwa njia ya matusi?
Binafsi ni big nooooooo!!!!
Na wanawake wanapenda sana kutumia matusi kwa wenza wao Kama matani
Mifano ni mingi,mfano ikiwa mwanamke anataka kufahamu mumewe alipo atampigia simu au sms "Weee bwege uko wapi?
Wewe kenge njoo ule
Halafu wewe nyoko acha ubishi basi!
Wewe mwanaume wa michepuko Sasa hivi upo kwa nani coz sikuoni home "
Wanaume nao hukubali kujibizana kwa njia hiyo hiyo ya matusi mpaka ya nguoni
Je ni sahihi kutaniana kwa njia ya matusi?
Binafsi ni big nooooooo!!!!