Ni rahisi Wasukuma kudhibitiwa wasiongoze nchi, ila ni upuuzi kuwaza Sukuma Gang inaweza kudhibitiwa isiongoze nchi!

Nyerere hakuwa mzanaki kama inavyojulikana.nyerere alikuwa ni msukuma mzaliwa wa shigala,ambayo kwa sasa ipo ktk wilaya ya busega mkoa wa simiyu.mpk nyerere anafariki,kuna makabuli pale aliyah jenga kipindi akiwa waziri mkuu.na alikuwa haachi kuja kuyasafisha.
Babu tangu yuu na miaka 98. Namuonaga kama amepungukiwa utambuzi kwa umri na afya yeke hukazania mambo mawili kila siku.
1. Rais Nyerere ni msukuma wa Nassa Busega Simyu.
2. Rais mwinyi ni msukuma wa Kayenze, Ilemela Mwanza.

Ukimuuliza ufafanuzi hata haelewi.

Na Kikwete ni mkwere ali wakwere wengi ni waha na wakongo.

Babu bwana.
Mungu ampe miaka mingu.

Sent from my A002SH using JamiiForums mobile app
 
Hakuna anayewachukia kaa Kwabila lao wala Kanda wanayotoka.

Mbona wasukuma ni watu wema sana tu.

Shida ni ile kundi la wasiojulikana na bado nyie wasukuma mkawa mnatetea kwamba Mtu wenu anafanya vizuri na hamkuwahi kukubali kwamba anakosea ktk jambo lolote.

Hii tabia ilinifanya na mimi nianze kuwadharau hawa watu.

Yaani Nyeupe wakawa anaita Ni Nyeusi yenye madoa doa
Wasukuma wako juu kwa sababu ya kuheshimu kazi. Penda uchukue watoa dada zako sababu wanauchumi. Haha nenda kijiji kwenu uone Ng'ombe.

Kwa sababu ya kazi.
Leo Katavi na Morogoro ni sukuma land. Vijijini huko kuolewa na Msukuma ni bahati hahaha.

Sent from my A002SH using JamiiForums mobile app
 
Ujinga ni kuwaza Ukabila karne hii kila wakati. Ongezeni juhudi tu kuwafanya wasikike kila saa tambueni ipo siku nchi hii hakuna kabila litaweza kuongoza nchi nje na hao unaowataja.

Ukabila haufai kabisa. Lisiwe jambo la kujivunia.
Ujinga ni kujifanya kama huoni elements za ukabila kwenye kile kilichoitwa Sukuma gang. Na bado kwenye mkataba wa DPW elements za udini zilijitokeza waziwazi. Utakuwa upumbavu wa hali ya juu kupuuza hivi vitu.
 
Mods! Tafadhari, mada hii haina uhusiano wowote na kabila la mtu, hivyo naombeni sana!

Shalomu Tanzania!

Zamani za mfalume Farao, mfalume huyu wa Misiri kipindi cha yeye kuongoza Misiri' alitoa amri ya kuwauwa watoto wote wa kiume waliotokana na wayahudi wahamiaji wa Kiisraeli katika nchi hiyo!

Lilikuwa ni agizo ambalo liliwatia simanzi watumwa hao wa Kiisraeli katika nchi ya ugeni!

Mfalume huyo, hofu yake ni kuona ongezeko kubwa la wahamiaji hao katika nchi na kwamba wakiongezeka sana, wanaweza kuja kuwatawala wa Misiri, ili kuwadhibiti waisrael kuongezeka na kuwa tishio, basi akatoa amri hiyo ya watoto wote wa kiume watakaokuwa wakizaliwa, basi wauwawe!

Siku moja mama wa kiyahudi, alijifungua mtoto wa kiume, hakutaka kuwakabidhi hao waliopewa amri ya kinyonga vitoto hivyo, basi akatengeneza kisafina na kisha kukaweka kwenye kijito ambacho hutilirisha maji yake kupitia maeneo ya Ikulu ya Farao ambapo watoto wake huogelea humo!

Wakati watoto wa Farao wakiogelea, binti Farao akakiona kile kisafina kikiwa kinaelea kufuata mkondo wa maji, akakifuata na kumbe mlikuwemo mtoto, naye bila hiyana, akakipeleka Ikulu na mtoto yule kulelewa hapo Ikulu, na wao kumpa jina la Musa!

Masikini Farao haukujua kwamba mtoto waliyemlea ndiyo huyo atakayeleta mapinduzi na kuwaokoa wayahudi wote waliokuwa wakitumikishwa na Farao!

Nataka kusema nini! Kupambana na sukuma gang na usijue hasa nani ni sukuma gang ni kujichosha saana

Twende kwenye mada

👇👇

Kwenye mitandao ya kijamii, kumekuwepo na mjadara wa jina (SUKUMAGANG) ambao umedumu sasa takrabani miaka miwili naa, tangu tu alipoondoka aliyekuwa rais wa Tanzania hayati John Magufuli

Kwa kujua ama kutojua, watunzi wa jina hili huwenda hawakujua athari itakayojitokeza mbele, na sasa hata wao ukiwauliza hawajui walilenga nani ndiye awe mwenye jina hilo Sukumagang!

Ukiuliza, Sukumagang ni wasukuma? Wanajibu hapana, bali wanakutajia majina ya mahasimu wao kisiasa!

Mwanzoni kabisa, matumizi ya jina hili lilimaanisha (Wasukuma) hawakujua athari ya jina hilo! Kwa sababu walikuja kugundua, hata kwenye vyama vyao, kuna wasukuma tena wengine ni viongozi wakubwa huko,

JPM alikuwa Msukuma ingawa wengine hawataki kumhusisha na usukuma lakini ni kwa sababu ya masilahi ya kisiasa, kwa sababu wanajua, wakimhusisha na wasukuma, moja kwa moja jina hilo walilolitunga kwa ajili yake, litawajumuisha wasukuma wote wa kanda ya ziwa kwa maana ya mikoa mitano na waliosambaa nchi nzima

wanachokihofu wanasiasa hawa, ni suala Zima la wao kutafuta uungwaji mkono kutoka kwa kabila hilo kubwa nchini,

Tukirudi upande wa pili, kunawanaosema, hao sukuma gang wanapaswa kudhibitiwa ili wasithubutu tena kushika madaraka ya juu ya nchi hii,

Hoja hii ndiyo yenye maswali mengi yasiyo na majibu hata kwa hao wanaojaribu kusema hivyo,

Ikiwa jina Sukuma gang linaihusu jamii ya wasukuma, Mtu anaposema, Sukumagang hawapaswi tena kushika madaraka ya juu katika nchi, anakuwa anamaanisha nini, ni kudhibitiwa kwa wasukuma wote, kwamba hawatakiwi kuongoza nchi hii kwa sababu aliyekuwa Raisi wa nchi na ambaye amekuwa hasimu wa vikundi haramu nchini tangu tu alipowatangazia vita vya serikali aliyokuwa akiiongoza yeye na vikundi hivyo haramu vya mafisadi alikuwa ni Msukuma?

JE, Sukuma gang hawapaswi kuongoza nchi hii tena, inamaana gani? Kwa mjibu wa madai mapya ya kundi bunifu la kutoa majina kama ambavyo walibuni jina hilo la sukuma gang kuwa, jina hilo halihusiani kabisa na wasukuma, ingawa hata inapotokea ametumbuliwa msukuma, vikundi hivi vya wabunifu wa jina hili vimekuwa vikifanya sherehe kwenye mitandao ya kijamii.

Unajiuliza, ikiwa jina Sukuma gang halihusiani na wasukuma, kwa nini sasa msukuma mmoja akiondolewa madarakani kunakuwepo na shangwe miongoni mwa wabunifu wa jina hili?

Failsafa ya jina hili ni kama imegawanyika, imegawanyika kwa sababu tu ya kimasilahi hasa za kisiasa, ingawa vitendo havijagawanyika! Vitendo vinadili sana na wasukuma na ndiyo maana utaona, kila alitimliwa msukuma kwenye nafasi fulani, inakuwa sherehe kwao

Kuwadhibiti wasukuma ili lengo la falisafa yao itimie ni rahisi kwa sababu wasukuma wanajulikana kwa majina yao, wakijificha kwa majina yao, lafudhi yao itawatambulisha.

Kutumia nguvu kudhibiti Sukuma gang wasishike madaraka, ni kujaribu kukimbiza upepo.

Sukuma gang ukiondoa ubaguzi uliojificha kwenye jina hilo, kundi hili halidhibitiki hata kwa mtutu wa bunduki

Sukuma gang, Wapo kila wizara na kila sector zote za Serikali kwenye ngazi za juu za kati, na huku chini ndio usiseme! Wapo kwenye vyama mbalimbali nchini

Ni ujinga mtu kupigana na kitu kilicho moyoni mwa mtu.

Na mpaka sasa haijulikani ikiwa hata walioshushwa vyeo ndio walikuwa sukumagang na ambao wamewekwa kwenye nafasi hizo kama nao ni wale wale sukuma gang.

Sukumagang ni watu wote walioathiliwa na uongozi wa kuthubutu kufanya, uongozi mashuhuli wa JPM, sasa ni kina nani, Sio wasukuma, wachaga, warangi, wagogo, wamatumbi, wajita, wazaramo na kila kabila.

Kote huko sukumagang wapo wamejaa.

Unaweza kupigana na wasukuma ukawashinda ila sio Sukumagang!
Ndiyo maana kuna mtu alisema kwenye mada yake moja humu kuwa: ...'Magufuli aliwashinda akiwa hai na atawashinda akiwa kaburini'...😁😆😆😂😂😊!

Hakuna Rais yeyote kabla yake aliyeendelea kuwanyanyasa wapinzani wake baada ya kifo chake kama JPM!

Wanaomtukana ni pamoja na wateule wake aliowathamini na kuwapatia vyeo vikubwa.
 
Mods! Tafadhari, mada hii haina uhusiano wowote na kabila la mtu, hivyo naombeni sana!

Shalomu Tanzania!

Zamani za mfalume Farao, mfalume huyu wa Misiri kipindi cha yeye kuongoza Misiri' alitoa amri ya kuwauwa watoto wote wa kiume waliotokana na wayahudi wahamiaji wa Kiisraeli katika nchi hiyo!

Lilikuwa ni agizo ambalo liliwatia simanzi watumwa hao wa Kiisraeli katika nchi ya ugeni!

Mfalume huyo, hofu yake ni kuona ongezeko kubwa la wahamiaji hao katika nchi na kwamba wakiongezeka sana, wanaweza kuja kuwatawala wa Misiri, ili kuwadhibiti waisrael kuongezeka na kuwa tishio, basi akatoa amri hiyo ya watoto wote wa kiume watakaokuwa wakizaliwa, basi wauwawe!

Siku moja mama wa kiyahudi, alijifungua mtoto wa kiume, hakutaka kuwakabidhi hao waliopewa amri ya kinyonga vitoto hivyo, basi akatengeneza kisafina na kisha kukaweka kwenye kijito ambacho hutilirisha maji yake kupitia maeneo ya Ikulu ya Farao ambapo watoto wake huogelea humo!

Wakati watoto wa Farao wakiogelea, binti Farao akakiona kile kisafina kikiwa kinaelea kufuata mkondo wa maji, akakifuata na kumbe mlikuwemo mtoto, naye bila hiyana, akakipeleka Ikulu na mtoto yule kulelewa hapo Ikulu, na wao kumpa jina la Musa!

Masikini Farao haukujua kwamba mtoto waliyemlea ndiyo huyo atakayeleta mapinduzi na kuwaokoa wayahudi wote waliokuwa wakitumikishwa na Farao!

Nataka kusema nini! Kupambana na sukuma gang na usijue hasa nani ni sukuma gang ni kujichosha saana

Twende kwenye mada



Kwenye mitandao ya kijamii, kumekuwepo na mjadara wa jina (SUKUMAGANG) ambao umedumu sasa takrabani miaka miwili naa, tangu tu alipoondoka aliyekuwa rais wa Tanzania hayati John Magufuli

Kwa kujua ama kutojua, watunzi wa jina hili huwenda hawakujua athari itakayojitokeza mbele, na sasa hata wao ukiwauliza hawajui walilenga nani ndiye awe mwenye jina hilo Sukumagang!

Ukiuliza, Sukumagang ni wasukuma? Wanajibu hapana, bali wanakutajia majina ya mahasimu wao kisiasa!

Mwanzoni kabisa, matumizi ya jina hili lilimaanisha (Wasukuma) hawakujua athari ya jina hilo! Kwa sababu walikuja kugundua, hata kwenye vyama vyao, kuna wasukuma tena wengine ni viongozi wakubwa huko,

JPM alikuwa Msukuma ingawa wengine hawataki kumhusisha na usukuma lakini ni kwa sababu ya masilahi ya kisiasa, kwa sababu wanajua, wakimhusisha na wasukuma, moja kwa moja jina hilo walilolitunga kwa ajili yake, litawajumuisha wasukuma wote wa kanda ya ziwa kwa maana ya mikoa mitano na waliosambaa nchi nzima

wanachokihofu wanasiasa hawa, ni suala Zima la wao kutafuta uungwaji mkono kutoka kwa kabila hilo kubwa nchini,

Tukirudi upande wa pili, kunawanaosema, hao sukuma gang wanapaswa kudhibitiwa ili wasithubutu tena kushika madaraka ya juu ya nchi hii,

Hoja hii ndiyo yenye maswali mengi yasiyo na majibu hata kwa hao wanaojaribu kusema hivyo,

Ikiwa jina Sukuma gang linaihusu jamii ya wasukuma, Mtu anaposema, Sukumagang hawapaswi tena kushika madaraka ya juu katika nchi, anakuwa anamaanisha nini, ni kudhibitiwa kwa wasukuma wote, kwamba hawatakiwi kuongoza nchi hii kwa sababu aliyekuwa Raisi wa nchi na ambaye amekuwa hasimu wa vikundi haramu nchini tangu tu alipowatangazia vita vya serikali aliyokuwa akiiongoza yeye na vikundi hivyo haramu vya mafisadi alikuwa ni Msukuma?

JE, Sukuma gang hawapaswi kuongoza nchi hii tena, inamaana gani? Kwa mjibu wa madai mapya ya kundi bunifu la kutoa majina kama ambavyo walibuni jina hilo la sukuma gang kuwa, jina hilo halihusiani kabisa na wasukuma, ingawa hata inapotokea ametumbuliwa msukuma, vikundi hivi vya wabunifu wa jina hili vimekuwa vikifanya sherehe kwenye mitandao ya kijamii.

Unajiuliza, ikiwa jina Sukuma gang halihusiani na wasukuma, kwa nini sasa msukuma mmoja akiondolewa madarakani kunakuwepo na shangwe miongoni mwa wabunifu wa jina hili?

Failsafa ya jina hili ni kama imegawanyika, imegawanyika kwa sababu tu ya kimasilahi hasa za kisiasa, ingawa vitendo havijagawanyika! Vitendo vinadili sana na wasukuma na ndiyo maana utaona, kila alitimliwa msukuma kwenye nafasi fulani, inakuwa sherehe kwao

Kuwadhibiti wasukuma ili lengo la falisafa yao itimie ni rahisi kwa sababu wasukuma wanajulikana kwa majina yao, wakijificha kwa majina yao, lafudhi yao itawatambulisha.

Kutumia nguvu kudhibiti Sukuma gang wasishike madaraka, ni kujaribu kukimbiza upepo.

Sukuma gang ukiondoa ubaguzi uliojificha kwenye jina hilo, kundi hili halidhibitiki hata kwa mtutu wa bunduki

Sukuma gang, Wapo kila wizara na kila sector zote za Serikali kwenye ngazi za juu za kati, na huku chini ndio usiseme! Wapo kwenye vyama mbalimbali nchini

Ni ujinga mtu kupigana na kitu kilicho moyoni mwa mtu.

Na mpaka sasa haijulikani ikiwa hata walioshushwa vyeo ndio walikuwa sukumagang na ambao wamewekwa kwenye nafasi hizo kama nao ni wale wale sukuma gang.

Sukumagang ni watu wote walioathiliwa na uongozi wa kuthubutu kufanya, uongozi mashuhuli wa JPM, sasa ni kina nani, Sio wasukuma, wachaga, warangi, wagogo, wamatumbi, wajita, wazaramo na kila kabila.

Kote huko sukumagang wapo wamejaa.

Unaweza kupigana na wasukuma ukawashinda ila sio Sukumagang!
Sukuma gang kwa sasa ni kama "itikadi". Ni wale watu wa legacy kwa Magufuli. It some sort of what we call "Magufulification". Walio wengi ni wale watu hawakuwa na majina au vyeo vya maana kabla ya JPM. Wengi wao walipewa teuzi au upendeleo na nafuu fulanifulani kipindi cha jiwe. Ingawa nadhani hakuna chama au kikundi kilichoanzishwa rasmi kinachojulikana kama Sukuma gang.

Ni kujidanganya tusipokubali kuwa watu hawa hawana elements za ukabila. Hapana ukabila ni mwingi ktk kile kinachojulikana kama Sukuma gang. Hii inatokana na ukweli kwamba waliokuwa wengi ktk teuzi na hizo nafuu walitokea sehemu moja au ukanda ambao wengi wao ni kabila moja.

Kinadharia mtu atakataa elements za ukabila na sasa udini, lakini kivitendo utakubaliana na mimi kuwa hivi vitu vipo, ingawa si ktk hali ya kutovumilika. Lakini watawala wakiviendekeza kuna siku vitalitafuna taifa.
 
Ujinga ni kujifanya kama huoni elements za ukabila kwenye kile kilichoitwa Sukuma gang. Na bado kwenye mkataba wa DPW elements za udini zilijitokeza waziwazi. Utakuwa upumbavu wa hali ya juu kupuuza hivi vitu.
Ni wasukuma ndo walijiita "sukuma gang"? embu tukumbushe kidogo.
 
Sukuma gang kwa sasa ni kama "itikadi". Ni wale watu wa legacy kwa Magufuli. It some sort of what we call "Magufulification". Walio wengi ni wale watu hawakuwa na majina au vyeo vya maana kabla ya JPM. Wengi wao walipewa teuzi au upendeleo na nafuu fulanifulani kipindi cha jiwe. Ingawa nadhani hakuna chama au kikundi kilichoanzishwa rasmi kinachojulikana kama Sukuma gang.

Ni kujidanganya tusipokubali kuwa watu hawa hawana elements za ukabila. Hapana ukabila ni mwingi ktk kile kinachojulikana kama Sukuma gang. Hii inatokana na ukweli kwamba waliokuwa wengi ktk teuzi na hizo nafuu walitokea sehemu moja au ukanda ambao wengi wao ni kabila moja.

Kinadharia mtu atakataa elements za ukabila na sasa udini, lakini kivitendo utakubaliana na mimi kuwa hivi vitu vipo, ingawa si ktk hali ya kutovumilika. Lakini watawala wakiviendekeza kuna siku vitalitafuna taifa.
Binafsi nakerwa sana na hilo jina kwa wanaolitumia, wote wanaoita na wanaoitwa kama wapo wanaolihusudu wakiitwa, wasukuma hatujui Majungu wala unafiki ila tunajua kunyooka na tunashirikiana na yeyote anayeweza kunyoosha mambo kama sisi tulivyo, hatujali race ya mtu bali uchapakazi ndio maana utashangaa moja kati ya vigogo wengi wa wanaoitwa sikika gang hata sio wasukuma bali ni watu walioaminika na kupewa nafasi wakachapa kazi na baadae kujumuishwa kwenye hiyo hypothetical gang bila asili yao kuhusiana na usukuma.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Mods! Tafadhari, mada hii haina uhusiano wowote na kabila la mtu, hivyo naombeni sana!

Shalomu Tanzania!

Zamani za mfalume Farao, mfalume huyu wa Misiri kipindi cha yeye kuongoza Misiri' alitoa amri ya kuwauwa watoto wote wa kiume waliotokana na wayahudi wahamiaji wa Kiisraeli katika nchi hiyo!

Lilikuwa ni agizo ambalo liliwatia simanzi watumwa hao wa Kiisraeli katika nchi ya ugeni!

Mfalume huyo, hofu yake ni kuona ongezeko kubwa la wahamiaji hao katika nchi na kwamba wakiongezeka sana, wanaweza kuja kuwatawala wa Misiri, ili kuwadhibiti waisrael kuongezeka na kuwa tishio, basi akatoa amri hiyo ya watoto wote wa kiume watakaokuwa wakizaliwa, basi wauwawe!

Siku moja mama wa kiyahudi, alijifungua mtoto wa kiume, hakutaka kuwakabidhi hao waliopewa amri ya kinyonga vitoto hivyo, basi akatengeneza kisafina na kisha kukaweka kwenye kijito ambacho hutilirisha maji yake kupitia maeneo ya Ikulu ya Farao ambapo watoto wake huogelea humo!

Wakati watoto wa Farao wakiogelea, binti Farao akakiona kile kisafina kikiwa kinaelea kufuata mkondo wa maji, akakifuata na kumbe mlikuwemo mtoto, naye bila hiyana, akakipeleka Ikulu na mtoto yule kulelewa hapo Ikulu, na wao kumpa jina la Musa!

Masikini Farao haukujua kwamba mtoto waliyemlea ndiyo huyo atakayeleta mapinduzi na kuwaokoa wayahudi wote waliokuwa wakitumikishwa na Farao!

Nataka kusema nini! Kupambana na sukuma gang na usijue hasa nani ni sukuma gang ni kujichosha saana

Twende kwenye mada

👇👇

Kwenye mitandao ya kijamii, kumekuwepo na mjadara wa jina (SUKUMAGANG) ambao umedumu sasa takrabani miaka miwili naa, tangu tu alipoondoka aliyekuwa rais wa Tanzania hayati John Magufuli

Kwa kujua ama kutojua, watunzi wa jina hili huwenda hawakujua athari itakayojitokeza mbele, na sasa hata wao ukiwauliza hawajui walilenga nani ndiye awe mwenye jina hilo Sukumagang!

Ukiuliza, Sukumagang ni wasukuma? Wanajibu hapana, bali wanakutajia majina ya mahasimu wao kisiasa!

Mwanzoni kabisa, matumizi ya jina hili lilimaanisha (Wasukuma) hawakujua athari ya jina hilo! Kwa sababu walikuja kugundua, hata kwenye vyama vyao, kuna wasukuma tena wengine ni viongozi wakubwa huko,

JPM alikuwa Msukuma ingawa wengine hawataki kumhusisha na usukuma lakini ni kwa sababu ya masilahi ya kisiasa, kwa sababu wanajua, wakimhusisha na wasukuma, moja kwa moja jina hilo walilolitunga kwa ajili yake, litawajumuisha wasukuma wote wa kanda ya ziwa kwa maana ya mikoa mitano na waliosambaa nchi nzima

wanachokihofu wanasiasa hawa, ni suala Zima la wao kutafuta uungwaji mkono kutoka kwa kabila hilo kubwa nchini,

Tukirudi upande wa pili, kunawanaosema, hao sukuma gang wanapaswa kudhibitiwa ili wasithubutu tena kushika madaraka ya juu ya nchi hii,

Hoja hii ndiyo yenye maswali mengi yasiyo na majibu hata kwa hao wanaojaribu kusema hivyo,

Ikiwa jina Sukuma gang linaihusu jamii ya wasukuma, Mtu anaposema, Sukumagang hawapaswi tena kushika madaraka ya juu katika nchi, anakuwa anamaanisha nini, ni kudhibitiwa kwa wasukuma wote, kwamba hawatakiwi kuongoza nchi hii kwa sababu aliyekuwa Raisi wa nchi na ambaye amekuwa hasimu wa vikundi haramu nchini tangu tu alipowatangazia vita vya serikali aliyokuwa akiiongoza yeye na vikundi hivyo haramu vya mafisadi alikuwa ni Msukuma?

JE, Sukuma gang hawapaswi kuongoza nchi hii tena, inamaana gani? Kwa mjibu wa madai mapya ya kundi bunifu la kutoa majina kama ambavyo walibuni jina hilo la sukuma gang kuwa, jina hilo halihusiani kabisa na wasukuma, ingawa hata inapotokea ametumbuliwa msukuma, vikundi hivi vya wabunifu wa jina hili vimekuwa vikifanya sherehe kwenye mitandao ya kijamii.

Unajiuliza, ikiwa jina Sukuma gang halihusiani na wasukuma, kwa nini sasa msukuma mmoja akiondolewa madarakani kunakuwepo na shangwe miongoni mwa wabunifu wa jina hili?

Failsafa ya jina hili ni kama imegawanyika, imegawanyika kwa sababu tu ya kimasilahi hasa za kisiasa, ingawa vitendo havijagawanyika! Vitendo vinadili sana na wasukuma na ndiyo maana utaona, kila alitimliwa msukuma kwenye nafasi fulani, inakuwa sherehe kwao

Kuwadhibiti wasukuma ili lengo la falisafa yao itimie ni rahisi kwa sababu wasukuma wanajulikana kwa majina yao, wakijificha kwa majina yao, lafudhi yao itawatambulisha.

Kutumia nguvu kudhibiti Sukuma gang wasishike madaraka, ni kujaribu kukimbiza upepo.

Sukuma gang ukiondoa ubaguzi uliojificha kwenye jina hilo, kundi hili halidhibitiki hata kwa mtutu wa bunduki

Sukuma gang, Wapo kila wizara na kila sector zote za Serikali kwenye ngazi za juu za kati, na huku chini ndio usiseme! Wapo kwenye vyama mbalimbali nchini

Ni ujinga mtu kupigana na kitu kilicho moyoni mwa mtu.

Na mpaka sasa haijulikani ikiwa hata walioshushwa vyeo ndio walikuwa sukumagang na ambao wamewekwa kwenye nafasi hizo kama nao ni wale wale sukuma gang.

Sukumagang ni watu wote walioathiliwa na uongozi wa kuthubutu kufanya, uongozi mashuhuli wa JPM, sasa ni kina nani, Sio wasukuma, wachaga, warangi, wagogo, wamatumbi, wajita, wazaramo na kila kabila.

Kote huko sukumagang wapo wamejaa.

Unaweza kupigana na wasukuma ukawashinda ila sio Sukumagang!
Kwa sasa wasukuma haiwekani mkawadhibiti hata iweje huo umasikini mliowatengenezea sio kigezo tena, kusoma wamesoma,, kujitambua wamejitambua na wanauweo wakujifanya ni kondoo lakini yao ni takatifu na imepewa mamlaka ya kuangusha mamlaka ya kidunia. Unafikiri kwanini kiongozi wenu alikimbilia kwenda kuvishwa ngozi ya chui?

Mtafute mzee wa kisukuma kutoka Kwimba atakueleza maana yake kisha linganisha na matokeo ya uamuzi wao utakuwaje.

Chui ni alama ya ulaghai, ubinafsi na uviziaji kwa nia ya kupata kitoweo bila kuthamini uhai wako
 
Back
Top Bottom