Sean Paul
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 1,017
- 2,553
Wait for me kidogo, nakuja PMhave a good night mchumba😎
Wait for me kidogo, nakuja PMhave a good night mchumba😎
Ni kipimo kinachopima virusi wenyewe, kinaangalia kuna copies ngapi wa virusi kwenye damu?Hicho cha PCR kikoje?
Mkuu kwenye kulalana mode, wengi hupoteza fahamu asikwambie mtu.Aloo yani umemtoa mtu telegram huko, mkaenda lodge kuchapana.
Mkachukua tuvipimo twenu mkajipima mkajikuta mko -ve, basi wale mnachapana kavu...
Watu mnajiamini sana aisee.
Kwa mzunguko huo haujashauri kitu.Sio kweli mkuu, kile kipimo cha ngoma kinapima antibodies (ni kemikali mwili inayotoa ili kujilinda na virusi). Ukishapata virusi hio antibody itakuwepo kwenye mwili wako siku zote hadi unakufa.
Mtu akitumia ARV vizuri kinachopungua ni Viral load ( yaani wale virusi ndio wanapungua) sasa kuna muda wanapungua hadi wanafikia kiwango cha kuwa undetected kwa kipimo cha PCR ( sio hicho unachotumia wewe) lakini ukipima kwa kipimo tunachotumia hiki cha rapid test utakuta inasoma positive kama kawaida, kwa sababu hata kama viral road ni ndogo sana kiasi cha kuwa undetected kwa kipimo cha PCR, mwili bado unaendelea kutoa antibody( ile kinga ya kupambana na hivyo virusi vichache vilivyobaki) hivyo kipimo cha rapid test (tunachotumia mara kwa mara kujipima) kitakuwa positive tu.
Kwahio mkuu ukipima mtu ukamkuta negative maana yake ni kwamba hana ngoma au ameambukizwa juzi kati tu na bado mwili haujatengeneza hizo antibody.
Ushauri wangu kama mtu humuamini mmekutana kwa mara ya kwanza ukampima ukakuta yuko negative, tumia Condom then baada ya mwezi mpime tena akiendelea kuwa negative ndio ule kavu .
Kitaalam, vipimo vya HIV (virus vya ukimwi) ni vya aina tatu.Kwaiyo icho kitu kinachoitwa kitaalamu unditect hakiwezi kutokea kabisa Kwa mtumiaji mzuri wa arv.
Haiwezi kuwa hivo kiongozi,Nimeona nije nipate michango ya wanajamvi kutokana na kwamba jukwaa hili Lina wasomi na madaktari wengi.
Kwasasa vijana wengi tumeangukia kwenye wimbi la kujipima na Kula tunda kavu, ata huko Kwa Malaya utaratibu ni huo wao wanakuwa na vipimo vyao mnapima kisha mnakulana.
Sasa kuna mtu mmoja ameniambia kwamba watumiaji wazuri wa ARV inafikia stage ambayo kipimo hakioneshi ni MUATHIRIKA sasa nimejiuliza maswali sanà kwamba kama ndivyo maana yake watu wataambukizwa Kwa kuamini kipimo.
Kama hali hiyo ni ya kweli bhasi tutakuwa na wagonjwa wengi siku zijazo Kwa maana mtu ukimpima Leo unapomla kavu unakuwa huna wasiwasi hivyo michubuko hutojali na utatumia ujuzi wako kumuonesha kuwa unayajua mapenzi kumbe mwenzio dawa zimemkubali.
Naomba kama kuna mtu anao ufahamu kubusu hili atujuze maana naisi tutaisha Kwa kuamini kipimo, hapa nazingumzia siku umempima ndio siku umemla sio mahusiano ya muda hapana, Kwa lagha nyingine ni eat and run.
Asanteni.
Msijidanganye ipo hivi kinacho fanyika kwa mtu anaye tumia ARV ni kufubaza virus na sio kuviua, kwa misingi hiyo vinapunguzwa nguvu ya replication ndan ya mwili wake kwakuwa dam yake tayari ina pambana navyo ndio maana akiacha tuu kutumia dawa vina rud tena kwa sababu bado vipo ila vime zirai kwa kukosa support, sasa kwa wewe usiye tumia ARV endapo ukashirik na mwenye maambukizi na damu zenu zikichangamana basi virus wataamka tena ndani ya mwili wako na kuanza kuzaliana tena kwakuwa kwako hakuna chochote kinacho pambana navyoKama kipimo hakionyeshi inaitwa UNDETECTABLE.
Mtu akiwa katika hali hiyo hawezi kuambukiza.
Ni kweli, hatari ya maambukizi inapungua SANA.Haiwezi kuwa hivo kiongozi,
Kile kipimo kina detect uwepo wa virus kwenye damu.
Kwahyo hata kam anatumia vizur dawa na Bado virusi vipo lazima vionyeshe.
Ninachojua kwa watumiaji wazuri wa dawa Huwa kuwaambukiza wengine ni ngum endapo tendo litafanywa kwa tahadhari.
Hapo nimemucha ajiongeze kwamba, kwa kila mwanamke atakaekutana anae whether kampima na yuko negative atumie kondom tu.Kwa mzunguko huo haujashauri kitu.
Huyo malaya anayempima pima, yaweza kufika kipindi cha matarajio ili amle kavu kavu, tayari akawa ameambukizwa kwingine, maambukizi mapya yasiyoonekana kwenye vipimo vyake hivyo, akafakamia kavu na akanasa vile vile.
Cha kujiuliza, kwa nini kwenye kulalana watu wanakuwa kama mbwa kwa chatu, kujipeleka kwenye hatari anayoijua ili akaliwe bila kupata mbadala wa kukataa?
Kama anatumia dawa vizuri hadi kipimo hakionyeshi basi hawezi kukuambukizaNimeona nije nipate michango ya wanajamvi kutokana na kwamba jukwaa hili Lina wasomi na madaktari wengi.
Kwasasa vijana wengi tumeangukia kwenye wimbi la kujipima na Kula tunda kavu, ata huko Kwa Malaya utaratibu ni huo wao wanakuwa na vipimo vyao mnapima kisha mnakulana.
Sasa kuna mtu mmoja ameniambia kwamba watumiaji wazuri wa ARV inafikia stage ambayo kipimo hakioneshi ni MUATHIRIKA sasa nimejiuliza maswali sanà kwamba kama ndivyo maana yake watu wataambukizwa Kwa kuamini kipimo.
Kama hali hiyo ni ya kweli bhasi tutakuwa na wagonjwa wengi siku zijazo Kwa maana mtu ukimpima Leo unapomla kavu unakuwa huna wasiwasi hivyo michubuko hutojali na utatumia ujuzi wako kumuonesha kuwa unayajua mapenzi kumbe mwenzio dawa zimemkubali.
Naomba kama kuna mtu anao ufahamu kubusu hili atujuze maana naisi tutaisha Kwa kuamini kipimo, hapa nazingumzia siku umempima ndio siku umemla sio mahusiano ya muda hapana, Kwa lagha nyingine ni eat and run.
Asanteni.
Kuugua ukimwi sio kufa, unaweza kufa wewe unaejiona mzima ukamuacha muathilika.pole sana ila nikwambie tu hata kama kipimo hakitaonyesha basi mdudu bado unae mwilini mzee hata ufanyeje ww jifariji usubiri siku yako ya kufa..... ova
hukutumwa ushobokee k chafu usizozijua
... sasa mtapima kila siku!!!?Kama kipimo hakionyeshi inaitwa UNDETECTABLE.
Mtu akiwa katika hali hiyo hawezi kuambukiza.
Wewe bila shaka ni mmoja wao, pole sana.Mkuu kwenye kulalana mode, wengi hupoteza fahamu asikwambie mtu.
Mtu anaweza akabeba condom kabisa, lakini akifika kwenye tukio havai, ama akivaa tendo likianza anaomba avue!
Na wengine kabla ya tendo huanza kunegotiate juu bei ya 'kwa ndom' na 'kavu kavu' na tozo la kavu kavu ni gharama ya kujenga darasa.
Kinachofanya hasa wanaume wataharuki zaidi ni huko kutozwa hongo kubwa za kufuru.
Sasa akijiuliza alivyomnunulia malaya gari, amemjengea nyumba na mambo mengine makubwa amemfanyia, kisha aje afanye kwa maigizo akili zinakataa isee, akifika hapo lazima ajitoe mhanga kwa kujivisha mabomu mwili mzima.
Mtu yeyote akitanguliza akili zake mbele, hawezi kuukaribia mzunguko wa matendo hayo, maana roho yake itamsuta na kujiona anajisaliti nafsi yake, anasaliti mke na anasaliti dini yake.
Akifikia kuwaza hivyo keshajitambua huyo, basi kitu chake hulegea kama kamba na kunywea nywiiii kisha hupiga ishara ya msalaba ama kutamka kabisa kwa maneno 'alahmdulilah' na kisha kusepa.
Mkuu umeninukuu tofauti. Huo ni mzaha tu.Wewe bila shaka ni mmoja wao, pole sana.
Mkuu kinachotakiwa ni AKILI. Yaani akili pekee.
Huyo wa telegram umemtoa kwa gharama gani? Kuna gharama kubwa kuzidi uhai wako??
Mtu akimaliza akitumia pep....kwa kutumia oral quick ikasoma negative je marudio ya kipimo ni baada muda gani?Paragraph ya Kwanza Umedanganya Ila paragraph ya Pili Uko sahihi
Baada ya Miezi Mitatu then Baada ya Miezi sita nimekujibu wa Usahihi kule JamiicheckMtu akimaliza akitumia pep....kwa kutumia oral quick ikasoma negative je marudio ya kipimo ni baada muda gani?