Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,420
- 14,632
Hali inazidi kutisha sana katika upande wa bongo movies, kwani hiyo tasnia haiendelei na wala hailipi. Ukija kutafta watu maarufu na wenye hela utakuta ni wa bongo fleva, je huko bongo movies shida ni nini?
The late Kanumba alijaribu kuipambania sana hiyo tasnia baadaye JB naye akaipambania lakini ni kama hailipi na hawana creativity kabisa.
Una ushauri gani au maoni gani ya namna ya kuisogeza mbele hi tasnia yetu ya bongo movies!
The late Kanumba alijaribu kuipambania sana hiyo tasnia baadaye JB naye akaipambania lakini ni kama hailipi na hawana creativity kabisa.
Una ushauri gani au maoni gani ya namna ya kuisogeza mbele hi tasnia yetu ya bongo movies!