Ni bima ipi ya afya bora kukata? Tupeane uzoefu na ushauri

Mbona mshikaji kaandika kwa uzuri kabisa ni nini mnabishana sasa? Yeye ni mtumiaji wa hiyo bima na amedai kuna kifurushi kinatoa hiyo huduma ya gym wewe na Error 404 mnabisha tu bila uthibitisho wowote ule. Mwisho kasema wapigieni wahusika mpate uhakika zaidi bado mnabisha, Watanganyika mna matatizo sana.
Mkuu najamaa zangu pia wanafanya kazi SAHARA GROUP, hii nikampuni ya Oil and gas, Kigamboni nao wanatumia hii bima ya strategis nawanaitumia mpaka gym. Mimi nipo kampuni Moja GGM tunatumia pia mpaka gym. Lakini watu wachache kama wakina Error404 hawaamini pamoja na nduguye Nehemia Kilave, naamin mpaka Sasa watakua wameshaulizq.
 
Strategies tunalipiwa mpaka gym.
 

Attachments

  • Screenshot_20240519_033825_Adobe Acrobat.jpg
    Screenshot_20240519_033825_Adobe Acrobat.jpg
    322.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240519_033843_Adobe Acrobat.jpg
    Screenshot_20240519_033843_Adobe Acrobat.jpg
    142 KB · Views: 4
  • Gym Provider List March 2023.pdf
    425.5 KB · Views: 2
Physiotherapy ni mazoezi yanafanywa kama tiba mfano umepata stroke ukapata udhaifu wa viungo unafanyiwa mazoezi ubongo ukumbuke kazi yake na kiungo kirudi kawaida , Gym ni broad ikihusisha mazoezi ya kuweka sawa mwili hata kama hujapata shida au ugonjwa wowote haya Bima huwa hawalipii
Acha uongo, wewe unafanya kazi kampuni uchwara ambazo hazijui umuhimu wa gym ndio maana kifurushi chako hakijumuishi bima, uzuri kuna mdau kaweka documents hapo juu za STRATEGIES kuondoa huo uongo wako.
 
Kuna mdau kaweka documents hapo za strategis na gym wanazopokea bima ya strategies.
Mkuu umezisoma zile services alizopost si umeona kuna physiotherapy sio Gym , sikatai kampuni binafsi inaweza ongea nao wawape watu wao huduma hiyo lakini hiyo huduma inayotolewa kwa standard beneficiaries .

Hizo image ukiachana na pdf ndio service wanazozitoa ingawa hawajazuia supplements
 
Kutibiwa mwisho 40?. Mm strategis wananilipia mpaka gym elfu 15 Kwa siku. By the way natumia Premium premium package.
Hii ni akili kubwa sana.

Anayefanya mazoezi anakingwa na magonjwa mengi yasioambukiza hivyo mwaka mzima anaweza asiende hospitali mwaka mzima na hiyo premium package malipo ni mamilioni kwa mwaka. 👌🏼
 
Binafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :-
-NHIF
-ASSEMBLE
-STRATEGIES
-JUBILEE
-Cigna
-BRITAM
-BUPA
-UAP
-HEALIX
-WCF
-CHF
-Aetna
-NSSF
Na nyinginezo nyingi je wewe ni BIMA ipi unaweza mshauri mtu ajiunge na kwa faida zipi?

Binasi pamoja na Changamoto zote bado ntamshauri mtu ajiunge na NHIF iwe ya standard ,supplementary au VIFURUSHI kwa sababu zifuatazo -

1. Inapatikana Nchi nzima

2. Haina kiwango na ukomo wa matibabu kwa siku

3. Ina huduma zote muhimu kama kumwona daktari, vipimo, upasuaji na madawa muhimu yote.

Wewe je una uzoefu na ushauri upi?​
Dogo nhif inaenda kufa kifo kibaya Haina hela kabisa
 
Binafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :-
-NHIF
-ASSEMBLE
-STRATEGIES
-JUBILEE
-Cigna
-BRITAM
-BUPA
-UAP
-HEALIX
-WCF
-CHF
-Aetna
-NSSF
Na nyinginezo nyingi je wewe ni BIMA ipi unaweza mshauri mtu ajiunge na kwa faida zipi?

Binasi pamoja na Changamoto zote bado ntamshauri mtu ajiunge na NHIF iwe ya standard ,supplementary au VIFURUSHI kwa sababu zifuatazo -

1. Inapatikana Nchi nzima

2. Haina kiwango na ukomo wa matibabu kwa siku

3. Ina huduma zote muhimu kama kumwona daktari, vipimo, upasuaji na madawa muhimu yote.

Wewe je una uzoefu na ushauri upi?​
Strategies & Jubilee
 
Kaandika vizuri lakini service Gym kwenye bima nimepata shaka Waja Hospital ndio hospital kubwa Geita na hatutoi huduma hiyo kwa mfumo wa bima zaidi ya Physiotherapy . Labda haelewi tofauti ya hizo huduma
Hajasema service ya Gym unaclaim hospitali.

Hizo ni commercial Gyms zenye mikataba ya kutoa memberships kwa clients wa Strategies, na ni tofauti kabisa na huduma ya Physiotherapy
 
Dogo nhif inaenda kufa kifo kibaya Haina hela kabisa
Hiyo ni ngumu kutokea , hakuna bima inabeba clients wengi na bado isiwe na misukosuko duniani kote .As longer as beneficiaries wengi basi tegemea changes nyingi hata hao strategy na Jubilee members wakishakuwa wengi utaona tu wanapotea .
 
Nimejikuta Niko kwenye Uzi wa watoto wa shule kubishania ujinga tu.

Wasaidie wasomaji kuainisha gharama za bima na ubora wake

Nimeambulia kiduchu tu kuwa bima Bora ni strategies
 
Mkuu umezisoma zile services alizopost si umeona kuna physiotherapy sio Gym , sikatai kampuni binafsi inaweza ongea nao wawape watu wao huduma hiyo lakini hiyo huduma inayotolewa kwa standard beneficiaries .

Hizo image ukiachana na pdf ndio service wanazozitoa ingawa hawajazuia supplements
Soma picha ya pili mstari wa mwisho
 
Back
Top Bottom