Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 312
- 1,190
Simba inakabiliwa na tatizo la umoja, tukiwa wamoja hakuna wa kuisumbua Simba, kuna watu wako Simba ndio wanaoamua kama Simba ishinde au ifungwe au itoke sare, mnaweza msiamini lakini hebu tuangalie kitalaamu, unawezaje kuibadilisha timu ndani ya siku moja ukiwa na akina Balua, Chasambi halafu mwenzako alieachia timu alikuwa na wachezaji wazito akina Chama, Saido, Babacar, Micquisone lakini hakuwa akipata matokeo mazuri.
Nimeshangaa sana leo Ngoma anawapelekesha akina Akaminko, Yahya Zayd na Feitoto, Ngoma anateleza sio kawaida, Mzamiru kawa mwepesi, Che Malone anasafisha ukuta wa yericko sio kawaida, Ayoub huku golini hana kazi.
Yaani Fredy Michael Koublan pamoja na ubovu wake na uchezaji nyoronyoro lakini ameonekana mtu leo.
Kuna jambo limetokea ndani ya uongozi na hili sio lingine aidha akina Jaribu Tena wamekubali yaishe na wale wajanja wamepewa timu na wameonyesha kweli kazi wanaijua.
Azam hii namna ilivyokuwa na watu wa hatari awali sikutaka kabisa kuangalia mpira maana ukiangalia kikosi chao na cha simba unaona kabisa leo tunakula kono la nyani, lakini wale wajanja wenye password ya simba wamepea timu na kama hali itaendelea hivi wanabeba nafasi ya pili.
Nimeshangaa sana leo Ngoma anawapelekesha akina Akaminko, Yahya Zayd na Feitoto, Ngoma anateleza sio kawaida, Mzamiru kawa mwepesi, Che Malone anasafisha ukuta wa yericko sio kawaida, Ayoub huku golini hana kazi.
Yaani Fredy Michael Koublan pamoja na ubovu wake na uchezaji nyoronyoro lakini ameonekana mtu leo.
Kuna jambo limetokea ndani ya uongozi na hili sio lingine aidha akina Jaribu Tena wamekubali yaishe na wale wajanja wamepewa timu na wameonyesha kweli kazi wanaijua.
Azam hii namna ilivyokuwa na watu wa hatari awali sikutaka kabisa kuangalia mpira maana ukiangalia kikosi chao na cha simba unaona kabisa leo tunakula kono la nyani, lakini wale wajanja wenye password ya simba wamepea timu na kama hali itaendelea hivi wanabeba nafasi ya pili.