Ndugu zangu UKIMWI is real

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
9,083
12,332
Ndugu zangu, vijana, wazee na watoto ukimwi upo, na una endelea kuteketeza nguvu kazi ya familia na Taifa vibaya sana. Utaskia waombolezaji na watu wa karibu wakijifariji na kujipa moyo wa matumaini, ''aah jamaa, sukari na pressure imemsumbua muda mrefu sana".

Tena sasa hivi mgonjwa wa Ngoma anakufa na afya yake njema na mujarabu sana kwa nje, ila kwa ndani ni mtu aliechaka vizuri sana.

Ukihisi huna hakika na afya yako, tafadhali tembelea kituo cha afya kwa vipimo na ushauri wa bure na ukibainika nao uanze dozi maramoja.

Usiogope.....

Tujihadhari ndugu zangu,
Baki njia kuu michepuko sio deal.

UKIMWI NI KITU MBAYA SANA.
 
Ndugu zangu, vijana, wazee na watoto ukimwi upo, na una endelea kuteketeza nguvu kazi ya familia na Taifa vibaya sana. Utaskia waombolezaji na watu wa karibu wakijifariji na kujipa moyo wa matumaini, ''aah jamaa, sukari na pressure imemsumbua muda mrefu sana".

Tena sasa hivi mgonjwa wa Ngoma anakufa na afya yake njema na mujarabu sana kwa nje, ila kwa ndani ni mtu aliechaka vizuri sana.

Ukihisi huna hakika na afya yako, tafadhali tembelea kituo cha afya kwa vipimo na ushauri wa bure na ukibainika nao uanze dozi maramoja.

Usiogope.....

Tujihadhari ndugu zangu,
Baki njia kuu michepuko sio deal....
UKIMWI NI KITU MBAYA SANA.
Hilo linajulikana, nilidhani umekuja na kisa kilichokukuta.
 
Ndugu zangu, vijana, wazee na watoto ukimwi upo, na una endelea kuteketeza nguvu kazi ya familia na Taifa vibaya sana. Utaskia waombolezaji na watu wa karibu wakijifariji na kujipa moyo wa matumaini, ''aah jamaa, sukari na pressure imemsumbua muda mrefu sana".

Tena sasa hivi mgonjwa wa Ngoma anakufa na afya yake njema na mujarabu sana kwa nje, ila kwa ndani ni mtu aliechaka vizuri sana.

Ukihisi huna hakika na afya yako, tafadhali tembelea kituo cha afya kwa vipimo na ushauri wa bure na ukibainika nao uanze dozi maramoja.

Usiogope.....

Tujihadhari ndugu zangu,
Baki njia kuu michepuko sio deal....
UKIMWI NI KITU MBAYA SANA.
Shida ni nini mkuu?

Mbona UKIMWI una uongelea sana.
Screenshot_20231028-072842~2.jpg
 
Ndugu zangu, vijana, wazee na watoto ukimwi upo, na una endelea kuteketeza nguvu kazi ya familia na Taifa vibaya sana. Utaskia waombolezaji na watu wa karibu wakijifariji na kujipa moyo wa matumaini, ''aah jamaa, sukari na pressure imemsumbua muda mrefu sana".

Tena sasa hivi mgonjwa wa Ngoma anakufa na afya yake njema na mujarabu sana kwa nje, ila kwa ndani ni mtu aliechaka vizuri sana.

Ukihisi huna hakika na afya yako, tafadhali tembelea kituo cha afya kwa vipimo na ushauri wa bure na ukibainika nao uanze dozi maramoja.

Usiogope.....

Tujihadhari ndugu zangu,
Baki njia kuu michepuko sio deal....
UKIMWI NI KITU MBAYA SANA.
Ulifikiri! Masikhara eeh
 
Shida ni nini mkuu?

Mbona UKIMWI una uongelea sana.View attachment 2795281
Shida ni UKIMWI UNATEKETEZA FAMILIA NA TAIFA

hizi habari zinakera sana kuskia lakini tulia tu hivyo hivyo lazma tukumbushane na kuambiana ukweli aise,
ni ngumu kukaa kimya hali yakua vijana,wazee na watoto wana angamia hivi hivi unaona...

Mimi nimekumbusha nawe tekeleza wajibu wako kujinusuru na hili dubwasha......
 
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini unaosababishwa na HIV

Sikuhisi watu wengi wenye HIV, hawana upungufu wa kinga mwilini. Hivyo ukimwi umepungua.

Kutokana na hayo mabadiliko HIV anashambulia kwa kushtukiza kaeneo kokote mwilini kanakoweza kusabaisha ufe tu. Ndio maana watu watakufa pamoja na kinga za mchongo.
 
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini unaosababushwa na HIV

Sikuhisi watu wengi wenye HIV, hawana upungufu wa kinga mwilini. Hivyo ukimwi umepungua.

Kutokana na hayo mabadiliko HIV anashambulia kwa kushtukiza kaeneo kokote mwilini kanakoweza kusabaisha ufe tu. Ndio maana watu watakufa pamoja na kinga za mchongo.
Mbaya sana UKIMWI aise dah!
 
Ndugu zangu, vijana, wazee na watoto ukimwi upo, na una endelea kuteketeza nguvu kazi ya familia na Taifa vibaya sana. Utaskia waombolezaji na watu wa karibu wakijifariji na kujipa moyo wa matumaini, ''aah jamaa, sukari na pressure imemsumbua muda mrefu sana".

Tena sasa hivi mgonjwa wa Ngoma anakufa na afya yake njema na mujarabu sana kwa nje, ila kwa ndani ni mtu aliechaka vizuri sana.

Ukihisi huna hakika na afya yako, tafadhali tembelea kituo cha afya kwa vipimo na ushauri wa bure na ukibainika nao uanze dozi maramoja.

Usiogope.....

Tujihadhari ndugu zangu,
Baki njia kuu michepuko sio deal.

UKIMWI NI KITU MBAYA SANA.
Unataka sisi watu wa afya tule nini ukimwi usipokuwepo
 
Binadamu utakufa tu hata usipopata UKIMWI hivyo kifo si hoja. Labda useme kunywa dawa za Arv mpaka mwisho wa maisha yako kunatisha.
Kufa ni Lazima, lakini jitahidi, jihadhari usife kwa UKIMWI basi mpendwa eeehhee....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom