Mwanaume roho yake huwa pale anapopata mgegedo si pahala anapolala. Inaonesha huyo mwanaume ni mwanafunzi wa mapenzi na mkewe ana kitu wanaita ludomodomo. Huwezi nambia akifika nyumbani anaanza kumpiga bila kuwa na kianzio. Kumbuka dawa ya moto ni maji si motoNshaongea sana na shemeji, kutoa mgegedo huko nje siyo tatizo, ila dharau na kutojali mkewe ndo tatizo, kwani angefanya hayo yote kisha akarudi kwake bila kulala nje ya ndoa, au vipigo naamin mke wake asingekua mnyongee kiasi hiki,