Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,678
- 698,787
Kwanini wanaimwagia maji?
Hiyo yote haikwepeshi usimamizi m'bovu wa serikali iliyopo madarakani,Hatukushindwana, ATC ilihujumiwa kifisadi na maofisa waandamizi wajanja waliotoka ATC wakaanzisha ARC a.k.a Air Rombo Corporation!
water cannon ni ukaribisho wa ndege mpyaAaah kumbee ilitakiwa kuogeshwa mwili mzima baada ya safari ndefu
Zimamoto ni wakarimu sana kama ingekua wanawake basi wa kulia ni wife material
Off target hio inaonyesha hata kama moto ungekuwa unawaka nyumba hii wao wanamwagia nyumba ya nne!!... ukiuliza mbona hamzimi moto? wanasema afadhali kumwagia zingine zisiwake... acha inayowaka imalizike!!..
hapana ni pale inapokaribishwa tuitakua unamwagiwa maji kuipoza kila baada ya safari ama
Labda kwakuwa ndege haikuwa boeingYaani hata water cannon tunafanya chini ya kiwango. Sijui nini tunaweza.
itakua unamwagiwa maji kuipoza kila baada ya safari ama
hapana ni pale inapokaribishwa tu