Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.
Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.
Orelse we gona vuna mabua
Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona
Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.
Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.
Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa
Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.
Orelse we gona vuna mabua
Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona
Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.
Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.
Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa