Nimekuwa nikiona zinatangazwa online na nipo mkoani,je zinapatikana kwenye maduka yetu huku mikoani
Mkuu, kwa mchina ni wapi kwa Dar?Mikwaruzo ya aina gani mzee?
Kuna mikwaruzo inasabishwa kwa kupita kwenye majani kama michongoma au vichaka ile ni mikwaruzo soft na haina shida kufutika na kuipoteza ingawa inakuwa bado ipo ila hizo spray zinasaidia kuficha.
But mkwaruzo wa kuchubuliwa na ukuta, bodaboda, au daladala hapo wewe nenda kwa mchina tu wana mbinu za kuirepair rangi ya gari bila hata kuibadilisha rangi ya gari zima.
Piga picha ya mkwaruzo nione na gari yako rangi gani?Mkuu, kwa mchina ni wapi kwa Dar?
Wapo mikocheni pale njia kama unakwenda rose garden pale.Mkuu, kwa mchina ni wapi kwa Dar?
MwanzaWapo mikocheni pale njia kama unakwenda rose garden pale.
Au nenda kule barabara ya kawe ulizia gereji ya spring city ya wachina. Utaelekezwa.
Ukiwa Mwanza, Kahama na.Bukoba wapo wapi?Wapo mikocheni pale njia kama unakwenda rose garden pale.
Au nenda kule barabara ya kawe ulizia gereji ya spring city ya wachina. Utaelekezwa.
Hii imekaaje hii Boss?Kuna mikwaruzo ile kama ya kupigwa pasi inaacha rangi nyeusi kunae polish inatoa