Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,926
- 3,968
Habari za humu ndani nimejichanga nikaona sio mbaya kukusanya TV za mtumba na kuja kuziuza kwa wale wanaopendelea vitu vya mtumba.
Ninazo makampuni tofauti tofauti kuanzia Lg, PHILIPS, Hitachi na mengineyo, hivyo nakukaribisha mdau wangu unaependelea vitu hivi.
Hiz TV huanzia ukubwa wa nch 42, 55 na lakini kwa sasa nimeanzia na 42 hivyo 55 zipo njiani.
Pamoja na hayo TV zetu zina support kama:_
USB kuanzia port2
HDMI1 hadi port3
VGA, antenna nk.
Ninazo makampuni tofauti tofauti kuanzia Lg, PHILIPS, Hitachi na mengineyo, hivyo nakukaribisha mdau wangu unaependelea vitu hivi.
Hiz TV huanzia ukubwa wa nch 42, 55 na lakini kwa sasa nimeanzia na 42 hivyo 55 zipo njiani.
Pamoja na hayo TV zetu zina support kama:_
USB kuanzia port2
HDMI1 hadi port3
VGA, antenna nk.