Natamani nichukue maamuzi magumu sana

Mkuu pole sana kwa hiyo situation unayopitia, nilishawahi kukumbana nayo hiyo Hali mwaka 2008 tena nilikuwa bado kijana below 21 nilichokifanya ni kuamua kunyamaza na kuangalia sehemu nyingine ya kuishi. Mungu aliniona nikapata kazi kwenye NGO ya Wazungu na hapo kelele zikapotea na wao ndio wakawa wanani miss mpaka wakaanza kunishambulia kwa kunipigia simu. Na Mungu alivyo mkuu nilipomaliza mkataba tayari nilikuwa na cheti changu cha chuo. Nikakaa miezi mitatu tu nikapata kazi nje ya mji ninaoishi, nikawa nawazingatia sana baada ya kutokea matatizo nikarudi tena kwao vikaanza tena vimbwanga nilichoamua ni kukaa mbali tu. Uzuri ni kwamba sijawahi kuwafanyia ubaya wowote dhamira huwa zinawasuta sana. Usibadilishe Namba za simu wala usi deactivate account zako za social networks wewe kaa mbali na unyamaze tu. Kimya ni jibu tosha kwa hawa binadamu.
 
Mwaka wa 7 huu nipo Namibia, nilitoka nyumbani sababu ni hizo hizo.
Kipindi icho bado kijana mdogo, nilipotea ikapita miaka mi 3 ndio nikaanza kuwasiliana na watu wa nyumbani.
Japokuwa niliondoka sikuacha mtu anaumwa wala matatizo yoyote, lakini mfumo wao wa maisha na wangu ulitafautiana sana.
Wao walikua watu wa maneno mengi na kelele, undugu wa kinafki, amani kwao ilikua ni kama mbuzi na maji japokuwa ni watanzania.
Nashukuru mungu nina amani na maisha yanasonga.

Ushauri wangu kwako, uguzaa mgonjwa weka mambo yako sawa jipange vizuri ukitoka potelea mbali, mwisho wa siku maisha ni wewe na wewe asikudanganye mtu.
 
Silvu matatizo ya familia hakuna familia isiyo na matatizo, acha kuwaza kujitenga na familia itakuja kukugharimu baadae uende kwa magoti, kila mtu anapenda amani ipiganie iishi ktk familia yako sio kukimbia
 
Unajua mambo ya familia na migogoro inakera sana, kama hapa tunauguza Mzee yupo hoi kitandani, mara ndugu Hawa wanasema hichi, mara bimkubwa nae anasema hichi, ndugu nao badala waonyeshe umeona wapambane wanakua wanapishana.

Yani familia nyingne kuzaliwa ni mikosi tu, Kuna weza kusiwe na njaa lakini migogoro, ulevi na kutokuelewana kukapoteza amani kabisa.

Sasa Kwa mtu kama Mimi nnaependa amani natamani nipotee kabisa, nibadlishe namba ya simu na account zangu Facebook, nipotee tu Mimi kama Mimi nisijulikane nilipo na wao nisijue wanaendeleajee nianze maisha yangu Mimi kama Mimi, Yani niwe kama Sina ndugu Wala wazazi, jirani zangu ndio watakua ndugu zangu.

Kuna mtu ashawahi kufanya hivi? Alifanikiwa?

Unajua mambo ya familia na migogoro inakera sana, kama hapa tunauguza Mzee yupo hoi kitandani, mara ndugu Hawa wanasema hichi, mara bimkubwa nae anasema hichi, ndugu nao badala waonyeshe umeona wapambane wanakua wanapishana.

Yani familia nyingne kuzaliwa ni mikosi tu, Kuna weza kusiwe na njaa lakini migogoro, ulevi na kutokuelewana kukapoteza amani kabisa.

Sasa Kwa mtu kama Mimi nnaependa amani natamani nipotee kabisa, nibadlishe namba ya simu na account zangu Facebook, nipotee tu Mimi kama Mimi nisijulikane nilipo na wao nisijue wanaendeleajee nianze maisha yangu Mimi kama Mimi, Yani niwe kama Sina ndugu Wala wazazi, jirani zangu ndio watakua ndugu zangu.

Kuna mtu ashawahi kufanya hivi? Alifanikiwa?
Pole sana mkuu kwa magumu unayopitia hilo ni swala na muda tu, usichukuwe uwamuzi kama huwo unaweza uka wahitaji baadae na ukashindwa kuwapata hujuwi nini mungu amekuandalia mbeleni tuliza akili fikiria vizuri jinsi ya kwenda nao sawa
Tatizo sio kulikimba nikulitatua.
 
Unajua mambo ya familia na migogoro inakera sana, kama hapa tunauguza Mzee yupo hoi kitandani, mara ndugu Hawa wanasema hichi, mara bimkubwa nae anasema hichi, ndugu nao badala waonyeshe umeona wapambane wanakua wanapishana.

Yani familia nyingne kuzaliwa ni mikosi tu, Kuna weza kusiwe na njaa lakini migogoro, ulevi na kutokuelewana kukapoteza amani kabisa.

Sasa Kwa mtu kama Mimi nnaependa amani natamani nipotee kabisa, nibadlishe namba ya simu na account zangu Facebook, nipotee tu Mimi kama Mimi nisijulikane nilipo na wao nisijue wanaendeleajee nianze maisha yangu Mimi kama Mimi, Yani niwe kama Sina ndugu Wala wazazi, jirani zangu ndio watakua ndugu zangu.

Kuna mtu ashawahi kufanya hivi? Alifanikiwa?
Hapo kuna wanaotaka afe wacheke, afe wapate urithi, anavyohangaika kitandani wao bize kupiga picha na kutuma fb wanatengeneza simulizi, huyu naye hahusiki sana ila anataka kujenga hoja apate mkopo mahali, na wanaombea likizo ya kuuguliwa! Na hako kajamaa kanataka tenda ya kumpeleka kwa sangoma wa mchongo wapige hela.
 
Inakera sana
Umekumbusha rafiki yangu alikuja kwangu kwa hasira akitoka kumsusa baba yake aliumwa basi ukawa mzozo baadhi ya ndugu akataka apelekwe kwa mganga, wengine kwenye maombi na rafiki yangu alitaka hospital ni mzee wa miaka 80. Sasa baada ya malumbano makali bila muafaka wakatawanyika basi kundi la kwenda kwa mganga likampakia kwenye boda likampeleka huko wakati wa kurudi akqpata ajali akateguka nyonga. Wakampeleka Mloganzila akalazwa kwa mwezi mmoja mpaka mauti ilipomfika.
 

Attachments

  • IMG-20220514-WA0008.jpg
    IMG-20220514-WA0008.jpg
    5.9 KB · Views: 3
Unajua mambo ya familia na migogoro inakera sana, kama hapa tunauguza Mzee yupo hoi kitandani, mara ndugu Hawa wanasema hichi, mara bimkubwa nae anasema hichi, ndugu nao badala waonyeshe umeona wapambane wanakua wanapishana.

Yani familia nyingne kuzaliwa ni mikosi tu, Kuna weza kusiwe na njaa lakini migogoro, ulevi na kutokuelewana kukapoteza amani kabisa.

Sasa Kwa mtu kama Mimi nnaependa amani natamani nipotee kabisa, nibadlishe namba ya simu na account zangu Facebook, nipotee tu Mimi kama Mimi nisijulikane nilipo na wao nisijue wanaendeleajee nianze maisha yangu Mimi kama Mimi, Yani niwe kama Sina ndugu Wala wazazi, jirani zangu ndio watakua ndugu zangu.

Kuna mtu ashawahi kufanya hivi? Alifanikiwa?
Funguka vizuri tujue tunachangia nini kwenye uzi wako.
 
Unajua mambo ya familia na migogoro inakera sana, kama hapa tunauguza Mzee yupo hoi kitandani, mara ndugu Hawa wanasema hichi, mara bimkubwa nae anasema hichi, ndugu nao badala waonyeshe umeona wapambane wanakua wanapishana.

Yani familia nyingne kuzaliwa ni mikosi tu, Kuna weza kusiwe na njaa lakini migogoro, ulevi na kutokuelewana kukapoteza amani kabisa.

Sasa Kwa mtu kama Mimi nnaependa amani natamani nipotee kabisa, nibadlishe namba ya simu na account zangu Facebook, nipotee tu Mimi kama Mimi nisijulikane nilipo na wao nisijue wanaendeleajee nianze maisha yangu Mimi kama Mimi, Yani niwe kama Sina ndugu Wala wazazi, jirani zangu ndio watakua ndugu zangu.

Kuna mtu ashawahi kufanya hivi? Alifanikiwa?
Unajua ndugu naona hawajui wanataka nini,
ukishazaa familia yako ndo kila kitu
 
Back
Top Bottom