Wakuu habari za weekend
Mimi nina changamoto ya mahusiano kwanza sijawahi kuwa na mahusiano ya kudumu yaani yatoboe mwaka sijawahi mengi ni muda mfupi sana yaani mpaka nawaone wivu wale wenye wapenzi wao wametoka mbali unakuta mtu anakusimulia yaani sisi hivi hivi hapo wana miaka hata 4 najisikiaga vibaya sina mtu nilietoka nae mbali
Sasa ndugu zangu unajua kwanini sikai muda mrefu na mahusiano ni kwasababu kila mahusiano nayoingia najikuta mimi ndio side chick, unakuta mwanaume ana mahusiano yake serious mimi ananifanya mchepuko nikishagundua hilo ndio huwa navunja mahusiano
Yaani nimechoka kila husiano naloanzisha unakuta tayari mwanaume ana mtu wake huko wa zamani mimi ndio kama nimevamia penzi la watu, hii kitu huwa inaniuma unaogopa hata kuharibu maana unakuta ameshazaa na binti au ana ujauzito au wanaishi wote ( hapa sizungumzii wanaume waliooa) nazungumzia wanaume tu ambao wapo na mahusiano serious
Kwasasa nimepata mtu ila na yeye nimegundua ana mahusiano yake serious japo sijamwambia… mahusiano yana mwezi mmoja tu,, sasa wakuu hili husiano nataka liwe la mwisho huyu mtu nataka nimng’ang’anie ikiwezekana penzi lake livunjike libaki kwangu
Wakuu nimechoka kuanza mahusiano mapya, huyu mtu hajaoa ila ana husiano seriously nataka nifanye mapinduzi
Wanaume kwa wanawake naombeni mbinu za kutumia ili niwe main check
Mimi nina changamoto ya mahusiano kwanza sijawahi kuwa na mahusiano ya kudumu yaani yatoboe mwaka sijawahi mengi ni muda mfupi sana yaani mpaka nawaone wivu wale wenye wapenzi wao wametoka mbali unakuta mtu anakusimulia yaani sisi hivi hivi hapo wana miaka hata 4 najisikiaga vibaya sina mtu nilietoka nae mbali
Sasa ndugu zangu unajua kwanini sikai muda mrefu na mahusiano ni kwasababu kila mahusiano nayoingia najikuta mimi ndio side chick, unakuta mwanaume ana mahusiano yake serious mimi ananifanya mchepuko nikishagundua hilo ndio huwa navunja mahusiano
Yaani nimechoka kila husiano naloanzisha unakuta tayari mwanaume ana mtu wake huko wa zamani mimi ndio kama nimevamia penzi la watu, hii kitu huwa inaniuma unaogopa hata kuharibu maana unakuta ameshazaa na binti au ana ujauzito au wanaishi wote ( hapa sizungumzii wanaume waliooa) nazungumzia wanaume tu ambao wapo na mahusiano serious
Kwasasa nimepata mtu ila na yeye nimegundua ana mahusiano yake serious japo sijamwambia… mahusiano yana mwezi mmoja tu,, sasa wakuu hili husiano nataka liwe la mwisho huyu mtu nataka nimng’ang’anie ikiwezekana penzi lake livunjike libaki kwangu
Wakuu nimechoka kuanza mahusiano mapya, huyu mtu hajaoa ila ana husiano seriously nataka nifanye mapinduzi
Wanaume kwa wanawake naombeni mbinu za kutumia ili niwe main check