Nataka kujenga

Njugu mawe

Member
Sep 8, 2023
22
20
Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenye nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,

Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?

Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?

Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
 
Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenyw nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,

Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?

Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?

Naombeni wataalamu mnieleze hili
Ghorofa mayai inakuaje?
 
Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenyw nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,

Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?

Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?

Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Mkuu milion tano mbona ndogo sana mkuu
 
Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenyw nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,

Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?

Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?

Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Unaweza kujenga ghorofa ya keki.
 
Achana na ujenzi haukufai.
Something else when you built a house, hata kama ni vyumba viwili build your love
 
Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenyw nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,

Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?

Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?

Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Achana na gorofa, hata nyumba ya chini ya vyumba viwili kwa Milioni 5 yako huwezi kuhamia.
 
IMG_20240402_203018.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2023-01-01-20-11-55-543_com.instagram.android.jpg
    Screenshot_2023-01-01-20-11-55-543_com.instagram.android.jpg
    249.9 KB · Views: 10
Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenyw nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,

Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?

Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?

Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Nyambafu
 
Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenye nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,

Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?

Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?

Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Unaweza kujenga na kuhamia kabisa mkuu, kinachotakiwa hapa ni bajeti ya kujenga ghorofa lenye thaman ya 5ml.

INAWEZEKANA, Jenga ghorofa la ngazi mbili, tofari fyatua na uchome mwenyewe, fundi uwe mwenyewe ila weka watu wa kukusaidia.
Sehemu zote za kupiga ringbeam na rinta tumia magogo yaliyopasuliwa vizuri siyo zege wala nondo, Zile floor zinazowekwa jamvi wewe tumia magogo pia mkuu, milango iwe michache na madirisha pia na tumia mabati kutengeneza shutter zake. Ezeka kwa nyasi vizuri tafuta waezekaji maalum wa nyasi. Piga plasta ndani tu.

Choo iwe ya nje shimo refu ya kulengesha na mlango wa kiwango cha chini.

Tumia plan hii kujenga ghorofa ya milion 5, usisahau kutuletea taarifa na picha baada ya kumaliza ujenzi. {Ukihitaji ramani hiyo njoo pm tuyajenge mkuu}
 
Back
Top Bottom