Sio kuwa niikipata kazi ya kueleweka , nina kazi ya kueleweka and by your information nimejenga Dar na wapangaji wapo ndani maisha yanaendelea.Sema hapa umeandika kwa makasiriko sana mkuu, kulikuwa na haja gani kuwakebehi Watu wa Dar,
Maisha ni popote ambako wanakufaa hata wewe ukipata kazi ya kueleweka utaenda Dar
HahahaWatu wa Dar mkae kwa kutulia hatutaki shobo maandazi - kujifanya mmepatia maisha kumbe mnateseka
Hapa nakuunga mkono..Pia uwe ready kupima UKIMWI pamoja nawe mara TATU.
Vipimo ninavyo box zima na vinapima HIV na syphilis! Complete! Hilo ondoa shaka Ndugu yangu.Hahaha
Kwa hiyo warembo wa Dar hawatakiwi, au?
Hapa nakuunga mkono..
Tena mtakapocheki moto, cheki gono pia, maana naskia siku hizi kuna gono sugu inatibiwa kwa dawa za mbwa tu
Sawa mkuuVipimo ninavyo box zima na vinapima HIV na syphilis! Complete! Hilo ondoa shaka Ndugu yangu.
Nipo serious na kutafuta pesa lakini pia nipo serious na suala la afya yangu na nitahakikisha namlinda afya mke wangu nitakayempata.
AFYA YANGU NDIO MTAJI
Hapana sijasema kazi ya kueleweka kama ulivyonukuu wewe , nilichokuwa namaanisha ni kupata kazi au deal yenye kiwango cha juu zaidi ya unayofanya kwa sasaSio kuwa
Sio kuwa niikipata kazi ya kueleweka , nina kazi ya kueleweka and by your information nimejenga Dar na wapangaji wapo ndani maisha yanaendelea.
What I spoke is the reality, watu wa Dar shobo nyingi as if mikoani huku hakuna maisha. Halafu mwisho wa siku maisha Yao bado ni ya kuunga unga!
Kama watu wa Dar mna makasiriko kwa sababu ya kuambiwa ukweli mtajijua wenyewe lakini lazima tuwachane ili mpunguze hizo shobo
Mkuu Mimi ni mtumishi wa umma halafu nimeridhika na kiwango Cha umaskini wangu alichonjalia Allah. Yaani Wala Sina tamaaa na wala sitamani kazi nyingine tofauti na hii ninayoifanya sasa.Hapana sijasema kazi ya kueleweka kama ulivyonukuu wewe , nilichokuwa namaanisha ni kupata kazi au deal yenye kiwango cha juu zaidi ya unayofanya kwa sasa
😂😂😂Huyo endelea nae ulieanzisha uzi unatakiwa uwe wa kwanza kupata mkuu ila akijitokeza mwingine we nipigie pande
Mbona unacheka 😊
Stendi ya wapi ? Ukija ukuje na begi lako kabisa Mimi mambo ya distance relationship sitoweza. Nataka full mkumbatio kila siku.Npo njiani nakuja,, jiandae kunipokea stendiiiiii
Huyo ni Manzi wa Dar! Tayari anaona yupo nje ya ulingo. Anapatikana mitaa karibu na wewe hivyo changamkia hiyo fursa ndugu yanguMbona unacheka 😊
Kupata mwanamke ni rahis sana sikuhiz lakin kupata mwanamke Bora ni kitu kigumu mno kwenye kizazi hiki,sio Kila mwanamke ni mke na sio Kila mwanamke n wa kubanjuka naeKati ya jambo ambalo.mimi naona haliwezi kunishinda kiasi cha kutafuta mteremko ni kupata mwanamke wa kuoa au kubanjuana nae.
Inashangaza sana kuona umekosa sasa unataka wajilete wenyewe
Nimefurahi tu vijana mnavyopambania fursaMbona unacheka 😊
Upewe maua yako. Na ndio maana upo so proud with your dady kwa jinsi alivyokulea wewe na ndugu zako.Kupata mwanamke ni rahis sana sikuhiz lakin kupata mwanamke Bora ni kitu kigumu mno kwenye kizazi hiki,sio Kila mwanamke ni mke na sio Kila mwanamke n wa kubanjuka nae
npo ndan ya super rojas🤣 sjawah fka uko kwaio nkifka stand nakwambia ni gani aaaaiiiii 😂😂Stendi ya wapi ? Ukija ukuje na begi lako kabisa Mimi mambo ya distance relationship sitoweza. Nataka full mkumbatio kila siku.