Bina msafi
Member
- Dec 2, 2022
- 20
- 63
Mimi ni mdada wa miaka 37 sina mtoto, natafuta mume wa ukweli. Mimi ni mkristo, elimu yangu form six, mjasiriamali mdogo.
Mwanaume awe na miaka 35 na kuendelea. Njoo PM tuongee kisha tukikubaliana ndipo tuanze safari.
Mwanaume awe na miaka 35 na kuendelea. Njoo PM tuongee kisha tukikubaliana ndipo tuanze safari.