- Thread starter
- #21
Sasa shida nini ikifika wakat si nitakufa auMiaka 35 huna mke huna mtoto,life expectancy YA Mtanzania miaka 55
Sasa shida nini ikifika wakat si nitakufa auMiaka 35 huna mke huna mtoto,life expectancy YA Mtanzania miaka 55
Mwamba kachoka kukumbatia mto kila siku.Umeshachoka kula daku mwenyewe. Kila la kheri
Unaoa dini? Wanawake wote unaowaona huko msikitini umeshindwa kuoa ndiyo uoee ghost woman?we una matatizoAsalam aleikum, kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kunipa uzima hakika ni faraja kupanda jukwaani kusema ya moyoni
Nahitaji mke wa kiislamu, sifa zingine ni za ziada nahitaji kuoa sasa kikubwa umri usiwe mkubwa sana, asizidi miaka 32 maana mimi nina miaka 35.
Inshalaah, pia mimi ni mtumishi wa serikali na sina mtoto.
Kkwa yeyote mwenye interest tuwasiliane PM, nipo serious baada ya mfungo ndoa inshalaah.
Nenda msikiti wa karibu na wewe kaonane na Imamu.Asalam aleikum, kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kunipa uzima hakika ni faraja kupanda jukwaani kusema ya moyoni
Nahitaji mke wa kiislamu, sifa zingine ni za ziada nahitaji kuoa sasa kikubwa umri usiwe mkubwa sana, asizidi miaka 32 maana mimi nina miaka 35.
Inshalaah, pia mimi ni mtumishi wa serikali na sina mtoto.
Kkwa yeyote mwenye interest tuwasiliane PM, nipo serious baada ya mfungo ndoa inshalaah.
Bfff kwahiyo nikaweke oda namba ya Abaya kwa niffer ushapata mpenzi 🤣🤣🤣Ww ndo unafaa sio mke wa kupika uji, hebu niwahi piem niolewe mie 😜
Ndoa za kiislamu tamu nikikuchoka talaka nakutumia hata whatsapp
We jamaa talaka unapewa wewe sio yeye anapewa😂😂😂Ww ndo unafaa sio mke wa kupika uji, hebu niwahi piem niolewe mie 😜
Ndoa za kiislamu tamu nikikuchoka talaka nakutumia hata whatsapp
Kwamba imamu anataka kuolewa ama?Nenda msikiti wa karibu na wewe kaonane na Imamu.
Sikushangai, ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia.Kwamba imamu anataka kuolewa ama?
😃😃😃Ww ndo unafaa sio mke wa kupika uji, hebu niwahi piem niolewe mie 😜
Ndoa za kiislamu tamu nikikuchoka talaka nakutumia hata whatsapp
Achana naye punguani Tu huyo, anafikiri MTU akiwahi kuoa ataishi maisha marefuSasa shida nini ikifika wakat si nitakufa au
Imamu ndio anatafutia watu wanawake WA kuoa?Nenda msikiti wa karibu na wewe kaonane na Imamu.