HSE Officer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 661
- 853
Miaka yangu ni 37
Naishi mkoa wa Dar
Kazi yangu kwa sasa AFISA WA BANK ( jina kapuni
Miaka kuanzia 25 kuja juu chini ya 25 usije Dm
Awe na mtoto kama huna mtoto usije coz mimi nina watoto
Awe muwazi na mkweli
Mwenye kuheshimu kila mtu
Elimu yoyote
Awe na nia ya kweli kuanza maisha na mimi
Dini yoyote ile kikubwa Awe na mapenz ya dhati kwa sababu nilishawahi kuumizwa na mapenz
Naishi mkoa wa Dar
Kazi yangu kwa sasa AFISA WA BANK ( jina kapuni
Miaka kuanzia 25 kuja juu chini ya 25 usije Dm
Awe na mtoto kama huna mtoto usije coz mimi nina watoto
Awe muwazi na mkweli
Mwenye kuheshimu kila mtu
Elimu yoyote
Awe na nia ya kweli kuanza maisha na mimi
Dini yoyote ile kikubwa Awe na mapenz ya dhati kwa sababu nilishawahi kuumizwa na mapenz