financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,149
- 40,752
Mimi nna nyama nyama bana , kigezo kimenishinda hicho😀financial services SI una semaga we una umbo la ki miss, uje sasa
Mimi nna nyama nyama bana , kigezo kimenishinda hicho😀financial services SI una semaga we una umbo la ki miss, uje sasa
Fungua Dm yako nikutumie CVmue mnaambatanisha na picha bwan,,tunakuja DM mbio tunakutana na vibabu😂😂😂
Hebu slidisha kule nione 😝, usikute natoa pasi kila siku.Mimi nna nyama nyama bana , kigezo kimenishinda hicho😀
We're openFungua Dm yako nikutumie CV
Miss World 😀😀😀 mimi ni kibonge mzito hata si mwepesi 😀Hebu slidisha kule nione 😝, usikute natoa pasi kila siku.
Akati nina miss world karibu😊😁
Uzuri upo Kwa muonaji, Mimi ndo Nita determine Hilo😃😃Miss World 😀😀😀 mimi ni kibonge mzito hata si mwepesi 😀
😀😀 wewe ni mdogo angu banaUzuri upo Kwa muonaji, Mimi ndo Nita determine Hilo😃😃
Jamani,kila mtu na vipaumbele vyake.
Natafuta mke kiportabkr lakininawe na tako.Elimy kuanzia form 4 angalau.
Awe na mtoto au laa,mm sina shida.Dm me
Hebu kwenda huko, uko pretty sure na hilo 😃😂.😀😀 wewe ni mdogo angu bana